Sijaishia kulike tu....
Mweeh! Ushirikina umesomea chuo gani mama?
Hebu Komaa na nyani ngabu kwanza mwenye mauturi na sneakers. Paw wangu keshazeeka tunazeeshana, usije ukamuua na shell na BP bure!
Me back in the day 😀
Ha haa roho mbaya umeanza lini kwani bibie?Mweeh! Ushirikina umesomea chuo gani mama?
Hebu Komaa na nyani ngabu kwanza mwenye mauturi na sneakers. Paw wangu keshazeeka tunazeeshana, usije ukamuua na shell na BP bure!
Sijaishia kulike tu....
Tutakutana namwachia Mungu.
Tunakutana kwa biashara ya madini bana. Siunajua tena sisi mabilionea wa Arusha biashara zetuSijaishia kulike tu....
Tutakutana namwachia Mungu.
Sio uchochezi.Huu ni uchochezi baba.
Na vita yake ni Sawa na ya makanikia
Haya. Ukimaliza urudi tu sina lingineTunakutana kwa biashara ya madini bana. Siunajua tena sisi mabilionea wa Arusha biashara zetu
Kwani vinafilije?Hivi unavyongea hiv unavifikiria viungo vyangu vinavyojiskia muda huu?
Una hatari si kidogo heheheHa haa roho mbaya umeanza lini kwani bibie?
Ngabu yuko bze na wazungu wake huko bana we niazime tu Paw tumalizane
Paw kamoyo kangu kana hamu kuchepuka nawe kwa usiku mmoja tu na nafsi yangu itatulia...Una hatari si kidogo hehehe
Ha haa roho mbaya umeanza lini kwani bibie?
Ngabu yuko bze na wazungu wake huko bana we niazime tu Paw tumalizane
Dah nimesoma mahojiano yote!
Heshima yako Nyani Ngabu. Nimejifunza mengi kupitia majibu yako!
Nilikuwa nakuona uko arrogant sana na mkorofi lakini baada ya muda nikagundua siyo hivyo, nikaona hupendi kupindisha mambo. Mtu akiharibu unampa ukweli wake pasipo unafiki...I like that! Tangu nimejua hilo, napenda kusoma comments zako hata kama ni za maoni tofauti na mawazo/imani yangu!
Safi sana Ngosha!
Shukran jazilan.
Karibu shampeni...