Nyani Ngabu Mjengoni! Interview: Mapenzi, Utajiri&Mali, Marafiki na Maisha ya ugenini.

Nyama ya Bata mzinga imeisha?

Limebaki paja moja na kipapatio!

Ila glazed ham bado ipo bwerere na cornbread stuffing ya kumwaga.

Kama hutumii shampeni basi kuna gallons mbili za apple cider.

Karibu tumwangalie Dak Prescott na Dallas Cowboys wakichuana na LA Chargers..
 
Shukrani mkuu! Hilo li turkey leg limoja ni dinner tosha kabisa. Hawa Dallas acha tu wafungwe leo na Chargers. Huyo Jerry Jones mambo yake hayaeleweki siku hizi! Inabidi tu hao wamiliki wa timu zingine kwenye NFL wamuondoe tu kwenye hiyo club!
 
Uko kama mimi, kati ya watu mwanzoni nilikuwa siwaelewi humu jf basi ni huyu Nyani Ngabu, kuna uzi mmoja ulinifanya nimuelewe vyema kabisa. Na kubadilisha vile nilikuwa namchukulia awali.
 
Uko kama mimi, kati ya watu mwanzoni nilikuwa siwaelewi humu jf basi ni huyu Nyani Ngabu, kuna uzi mmoja ulinifanya nimuelewe vyema kabisa. Na kubadilisha vile nilikuwa namchukulia awali.

Dah!

Ngoja nikutafutie na teddy bear kabisa...
 
Hii point imenifanya nisipatwe na vidonda vya tumbo na kujiamini zaidi
 
Huyu jamaa na mfaham vzr sanaaa ila yy hanijui, kuna siku tulikua kwenye bas nikaona ana log in JF ni mzee wa makamu muhun muhun tuu yaani wale wazee vijana ana mambo ya kisela sanaaa
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…