johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Punguza mapepe.........na wewe nakutakia pasaka njema!Tulia wewee acha porojo jamvini fanya kazi. Kwani lazima ulete thread? Pia huu uzi mhasibu wenu hapo lumumba ataidhinisha B7?
Mods kujeni huku haraka kuna kichwa!
Aiseee wee dogo. Happy Easter tooPunguza mapepe.........na wewe nakutakia pasaka njema!
Hahahahah chezea Magufuli. Hafanyi tena biashara ya kuleta makontena Bongo?Inawezekana kadakwa
Mwenzake Chris lukosi siku hizi kawa mjasilia mali kwa wachina
UK alihama ?Lukosi baada ya kukimbia na rambirambi za wafiwa kwao iringa akakimbilia kwa wachina sasa maisha yake yote yupo maghalani kwa wachina anatumwa tu
UK alihama ?
ID maarufu ipi? Kama Ruge ni Nyani basi alikuwa mjanja sana. Ila alikuwa anatetea sana clouds.Wakati ule wa msiba kuna mtu mmoja alisema kuna ID maarufu humu itapotea.Sasa sijui alimaanisha nini?!
Kumbe ni mtu wa hovyo hivi?!.......hakuwa na msaada wa taifa kabla hata ya kuondoka nchini.....wacha afanye biashara facebook sasa.Alikuwaga mnoko, mtesi na mnyanyasaji alivyokuwa trafiki huko Mbeya. Kalinunuaga baiskel ya fineksi yani ilikuwa kero kwa nyodo na majigambo.
Wadau wakasema baas wakampiga juju yani kimbola cha hatariii ikabidi asepe Botswana. Dada akampiga sound mme wake wakamtoa Botswana na kumvusha kwa malkia.
Alivyofika kwa malkia akawa limbukeni yeye ni kwenye sofa tu sebulen na remote huku kaninginiza poumbou. Shemeji yake alimmaindi sana.
Thread yake ya mwisho humu alikuwa anamdhihaki braza Ben saanane eti anaigiza kwa kujificha iliniuma kichizi.
February 4 NN alikuwa online hapa akiwapa watu vijembe vyake, that time Ruge yupo ICU..Nyie acheni bwana,Ruge alikuwa Nyani ngabu ????Ila Nyani alikuwaga anatetea sana clouds. Ila mbona kama ni Ruge mbona alikuwa anajua sana kisukuma? Ruge alikuwa humu ila sijui alikuwa anatumia ID gani ?
Ruge alikuwa kishatoka ICU.February 4 NN alikuwa online hapa akiwapa watu vijembe vyake, that time Ruge yupo ICU..
Hii inahusiana vipi na jukwaa la siasa?Kamanda umepotea sana hapa jamvini
Maendeleo hayana vyama!
Thanks mods kwa kuitrash hii rubbish to chitchat forum.Siasa ni maisha kamanda ndio maana daktari wanyamapori ndiye mtendaji mkuu wa Ufipa!
Hahahaa........ kwi.....kwi....kwi wasalimie Arumeru mashariki!Hii inahusiana vipi na jukwaa la siasa?
Thanks mods kwa kuitrash hii rubbish to chitchat forum.
Nyani yupo soshio midia zingine kama kawa hana tatizoNyie acheni bwana,Ruge alikuwa Nyani ngabu ????Ila Nyani alikuwaga anatetea sana clouds. Ila mbona kama ni Ruge mbona alikuwa anajua sana kisukuma? Ruge alikuwa humu ila sijui alikuwa anatumia ID gani ?