Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
kumbe wewe unajuaRahisi sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mzee wa magari na uzinzi![emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi nikibadili utanitambua?Rahisi sana
Njia ya kwenda wapi ?Nasikia ndiye 'jasiri mwongoza njia'.
Siunajua alipo?
Sababu kubwa ya kubadili Id huwa nini?Dah muda mrefu sana....wengi huwa wanabadili ID. Sasa hivi kuna ID nyingi mpya ila watu wale wale wa zamani
Alama ' ' unajua maana yake?Njia ya kwenda wapi ?
Hata wewe kuna kipindi ulipotea sana. Watafiti wa jf wakasema ume disco chuo ndio maana huonekani.
Alama za mtajo au alama za fungua na funga semi, si ndio ?Alama ' ' unajua maana yake?
Wawe waaminifu au watumie kinga basi'Kuharibu'
Ngosha kapotea sana sana. labda kapanda cheo kinachomkataza kuingia huku...Hivi huyu mzee wa USA baby Yuko wapi? Nina muda sana sijamsoma humu au kubadili ID?
cc Nyani Ngabu
Kwa nini unakwepa?Bahati mbaya huwa nakwepa ku-interact na ID mpya, ila kama tumezoeana ukabadili na ukaendeleza mazoea nitakujua. ID nyingi mpya najua ni za watu wa zamani ila sihangaiki kutaka kujua ni nani
Itakuwa kweli Ali disco 😀😀Hata wewe kuna kipindi ulipotea sana. Watafiti wa jf wakasema ume disco chuo ndio maana huonekani.
Duh nipo sana. Mwaliko wangu bado upo?