Nyani Ngabu Yuko wapi?

Hiyo link tafadhali. Huyu jamaa alikuwa na mambo ya kihunikihuni hap jf
 
Naona kuna haja ya kuita mkutano mkuu wa legends wa JF........tujadili yetu.....long tym sana.......upo poa lakini.......
Wakati unaenda kwenye huo mkutano nipitie hapa kijenge. Nitahudhuria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…