Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Acheni kuzushia watu mauti...Nasikia ndiye 'jasiri mwongoza njia'.
Siunajua alipo?
Msukuma na Muhaya wapi na wapi???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kuzushia watu mauti...Nasikia ndiye 'jasiri mwongoza njia'.
Siunajua alipo?
Ndiyo maana Jiwe anaomba washuke malaika wafungie JF, shikamoo sana JF.tangu wanaomfahamu walipoanza kuweka wazi maisha yake, akaanza kuwa mpole na kuanza kupunguza ujuaji.
kuna mtu hapa jf aliwahi ku expose maisha ya bmkubwa wake mitaa ya mbezi,
kwamba licha ya kuishi kwake ughaibuni mda mrefu na mbwembwe za kujua kingereza, akija bongo huwa anafikia kwenye kibanda cha bmkubwa wake mbezi.
jf noma sana, wanaokujua wakiamua kukukalia kooni unaweza badili ID au unaweza kujipa likizo ya dharula ya kutoingia jf.
Nakuomba PM nina ujumbe wako.
Ngoja nimuulizeMiss Natafuta anasemaje??
pm ni pamoja na dili za magari pia![emoji4][emoji4][emoji4]Wewe PM ni kwa ajili ya kutongoza tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi kwa nini huwa unapenda kumuandama kaka wa mimipm ni pamoja na dili za magari pia![emoji4][emoji4][emoji4]
ID mpya wp? mi nimeingia humu July 2018 kwa jina la "Fullfilledtruth" nikakaa kama miezi mi3 tu nikala ban 7bu za ushabiki wa siasa uchwara wa mitandaoni humu.Nakuona mkongwe wa JF katika ID mpya..
[emoji23][emoji23][emoji23] na wewe kwa nini ulimgongea mwenzio? We ukigongewa utafurahi?Nilimgongea demu wake
[emoji23][emoji23][emoji23] na wewe kwa nini ulimgongea mwenzio? We ukigongewa utafurahi?