Nyaraka: Mojawapo ya kampuni iliyopewa kibali na Waziri Bashe kuingiza sukari nchini

Wait please.

Tunaagiza Tani 60K kutoka Zambia na Uganda😂😂😂😂

Kuna mtu humu na kule bungeni anasema Sukari itashuka 😂
 
Haya mambo yana siri kubwa sana maana hapa ndipo pesa nyingi safi na chafu.
Muda utaongea maji yatajitenga na mafuta tutajua tu nani mkweli kati ya Bashe na Mpina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…