econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Punguza kejeli kwenye mambo serious.Mpo nyuma yake ama nyuma ya keyboard?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza kejeli kwenye mambo serious.Mpo nyuma yake ama nyuma ya keyboard?
Kwa hivyo kama sio yeye mambo yanajiendea tu?Ameshakwambia sio yeye wa kulaumiwa sio yeye mengine yeye hayamuhu hayo amesema wa kulaumiwa ni taasisi sio yeye msikilizeni vizuri Chura mumuelewe amesema sio yeye ni taasisi kwa hio ilaumuni taasisi
Bashe yuko kwa maslahi ya nani? Au yupo kwa maslahi ya hizo kampuni alizozipa vibali zikanunue sukari?Mpina yupo kwa maslahi ya wale watu 7 ambao wanataka ku control soko na bei ya sukari watakavyo
Maslahi ya wananchi ndio maana bei ya sukari imeshukaBashe yuko kwa maslahi ya nani? Au yupo kwa maslahi ya hizo kampuni alizozipa vibali zikanunue sukari?
Mpina amewapiga mpini
Jitokezeni kama vijana wa kenya. Siyo kujificha na Fake ID nyuma ya keyboard.Punguza kejeli kwenye mambo serious.
Prove it?Mpina yupo kwa maslahi ya wale watu 7 ambao wanataka ku control soko na bei ya sukari watakavyo
Kuna vitu haviitaji ushahidiProve it?
Yeye kaambatanisha na ushahidi, weka vya kwako.
Hauna so kwa hiyo umejiongelea.Kuna vitu haviitaji ushahidi
Kaiulize taasisiKwa hivyo kama sio yeye mambo yanajiendea tu?
Hivi issue ya keyboard warriors wa Kenya kutikisa mifumo ya fedha ni kweli?
Ilikuwaje ikapanda tofauti na miaka minne iliyopita? Je hao watu 7 hawakuwepo?Maslahi ya wananchi ndio maana bei ya sukari imeshuka
Lakn siku akigeuka haoni mtu hata m1Ndiooo MPINA ,Komaa hapohapo.
Tupo Nyuma yako Kaka.
Moja mafuriko mvua kubwa zilizonyesha miwa haukuvunwa pili hao watu 7 walificha sukari ili kupandisha bei .. walioolewa kibali kuagiza nje hawa kuagiza hata nusu kilo wakijua ikija ya nje bei itashuka .. kwanini wasipewe wengine ndio mnamuona chawa wao amepiga kelele oooh ufisadi sheria hazikufuatwa or gape suger ...Ilikuwaje ikapanda tofauti na miaka minne iliyopita? Je hao watu 7 hawakuwepo?