Kwa Nini ilipandaMaslahi ya wananchi ndio maana bei ya sukari imeshuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Nini ilipandaMaslahi ya wananchi ndio maana bei ya sukari imeshuka
Chura tutamtetea kwa kutumia diniChura!! Anaruka ruka chura!!
KAZI ni kipimo cha UTU
Nashangaa hata mimi! Wanamdanganya sana, wanamdanganya tuko nyuma akigeuka hawaoni?Mpo nyuma yake ama nyuma ya keyboard?
Lengo la Waziri lilikuwa ni lipi kuchelewa kutoa vibali na kutaka sukari iingie nchini kwa Karaka ndani ya siku 14 huku akijua jambo hili haiwezekani hata kwa namna yoyote?Moja mafuriko mvua kubwa zilizonyesha miwa haukuvunwa pili hao watu 7 walificha sukari ili kupandisha bei .. walioolewa kibali kuagiza nje hawa kuagiza hata nusu kilo wakijua ikija ya nje bei itashuka .. kwanini wasipewe wengine ndio mnamuona chawa wao amepiga kelele oooh ufisadi sheria hazikufuatwa or gape suger ...
Wewe unaonaje🫣
Hizo lugha za "tupo nyuma yako" ni lugha za kilaghai tu,mpo nyuma yake halafu mmejificha nyuma ya keyboard halafu kwenye sekeseke mnamuacha pekeyakeNdiooo MPINA ,Komaa hapohapo.
Tupo Nyuma yako Kaka.
Hawezi kuwa na majibu anaonekana yupo shallow Mzee wa hearsay without reasoning.Lengo la Waziri lilikuwa ni lipi kuchelewa kutoa vibali na kutaka sukari iingie nchini kwa Karaka ndani ya siku 14 huku akijua jambo hili haiwezekani hata kwa namna yoyote?
Je hayo makampuni haramu aliyoyapatia vibali yaliweza kuingiza sukari ktk siku 14?
Kwanini alitumia makampuni ya "mfukoni" ambapo ni uvunjaji wa Sheria na kuhatarisha usalama wa afya za wananchi?
Kwa nini hao hao unaotuaminisha kuwa walificha sukari (watu 7)awape tena vibali vya kuagiza sukari?
Kwa nini kampuni za mfukoni zisamehe Kodi wakati hao watu 7 waliopewa vibali wao wasisamehewe?
Kwa nini nakisi ya sukari kwa mwaka ni tani lakini 3 lakini waziri aliagiza tani lakini 4.1?
Naomba ufafanuzi hapa kama ulivyojitahidi kunielewesha ktk swali langu la msingi la awali.
Aibuuuii kwa serikali aibuuuii x 100.....avunje baraza mawaxiri....Mwiguku na Bashe out......aibuuuuBashe anadaiwa kushiriki katika ukiukwaji wa sheria, rushwa na kuikosesha serikali mapato katika utoaji wake wa vibali vya kuingiza sukari nchini.
Pia, anatuhumiwa kutoa vibali vya tani 410,000 za sukari kinyume na mahitaji yaliyopo; kuyapa makampuni yasiyo na sifa ya kuingiza bidhaa hiyo na kuikosesha serikali mapato ya zaidi ya Sh. 580 bilioni.
View attachment 3022737
Tulia anasema Mpina kalidanganya bunge 🤣Bashe anadaiwa kushiriki katika ukiukwaji wa sheria, rushwa na kuikosesha serikali mapato katika utoaji wake wa vibali vya kuingiza sukari nchini.
Pia, anatuhumiwa kutoa vibali vya tani 410,000 za sukari kinyume na mahitaji yaliyopo; kuyapa makampuni yasiyo na sifa ya kuingiza bidhaa hiyo na kuikosesha serikali mapato ya zaidi ya Sh. 580 bilioni.
View attachment 3022737
Lengo la Waziri lilikuwa ni lipi kuchelewa kutoa vibali na kutaka sukari iingie nchini kwa Karaka ndani ya siku 14 huku akijua jambo hili haiwezekani hata kwa namna yoyote?
Je hayo makampuni haramu aliyoyapatia vibali yaliweza kuingiza sukari ktk siku 14?
Kwanini alitumia makampuni ya "mfukoni" ambapo ni uvunjaji wa Sheria na kuhatarisha usalama wa afya za wananchi?
Kwa nini hao hao unaotuaminisha kuwa walificha sukari (watu 7)awape tena vibali vya kuagiza sukari?
Kwa nini kampuni za mfukoni zisamehe Kodi wakati hao watu 7 waliopewa vibali wao wasisamehewe?
Kwa nini nakisi ya sukari kwa mwaka ni tani lakini 3 lakini waziri aliagiza tani lakini 4.1?
Naomba ufafanuzi hapa kama ulivyojitahidi kunielewesha ktk swali langu la msingi la awali.
Haina shida! Ila tbua Mpina anao ushahidi wa kutoshaInashida gani hiyo nyaraka
Tatizo ABDUL naye ni mhusika kwenye hizo deal..... Hivyo KIZIWI hatawasikia hapo.Hii nchi inaudhi sana! Mtu ameiba analindwa kwa faida ya nani?
Hapa kwa haraka mno ilibidi aliyemteua Bashe ampige chini haraka ili yeye akae kuwa mweupe
Watanzania si wajinga Bali ni watu wenye busara sana nahuo ndio mtaji wanao utumia Hawa wakoloni weusiKwa Tanzania haiwezekani kwa sababu wananchi ni wajinga. Lakini kwenye watu wenye akili inawezekana.
Huyu naye si basi tu.Tulia anasema Mpina kalidanganya bunge 🤣
Nashukuru kwa majibu yako. Je ni kwa vipi waziri aliamua kutumia makampuni ya "mfukoni") yasiyo na sifa na bila ushindani?Hakuchelewa bali aliwapa vibali vya kuagiza hao wenye viwanda waagize na kodi ilisamehewa lakini hawakuagiza.
Kodi ilisamehewa kwa yeyote aliyepata fursa na uwezo wa kuingiza hiyo sukari
Waziri aliagiza sukari in excess sababu mashamba yalioathiriwa na mvua za elnino ikiwa na maana tungekosa sukari kwa muda mrefu au upungufu ungekuwa wa muda mrefu
Ohh na hao watu saba mabosi zenu walipewa vibali sababu sheria ilitaka wapewe wao ndio waagize sukari lakini they took advantage of that kutokuagiza ili ku maintain upungufu wa sukari mawazoni walifikiria wao ndio alfa na omega hakuna yeyote mwenye mamlaka na haki ya kuagiza sukari bali ni wao .
Narudia tena serikali kupitia waziri mh Bashe ni wazalendo na wameangalia maslahi ya watanzania milioni 60 na sio ya kikundi ya watu 7