sitakuwafisadi
Member
- Jan 23, 2011
- 62
- 13
Tatizo liko wapi hapo?
Kama DPP aliwataka Watanzania wapeleke ushahidi, na huyu bwana Msemakweli kapeleka "ushahidi" kwa mtazamo wake na aujuavyo yeye, tatizo nini?
Mpaka sasa sijaona "any incriminatory evidence" kwa RA wala kwa YM.
Swali: Kilichomfamya Msemakweli asifunguwe yeye mwenyewe kesi mahakamani ni nini?
Jibu: Anajuwa wazi kuwa hana "any incriminatory evidence" kuhusu RA wala Manji ndio maana akaamuwa kuupeleka "ushahidi" kwa DPP halafu kuu"leak" humu JF na kwingine ili ajipatie umaarufu kuonekana kuwa kafanya kazi kweli kweli.
Ukweli ni kwamba. huo anaosema "ushahidi" haupo wala hautoshelezi kumshitaki mtu. Na hiyo list aliyoitowa hiyo ilikuwa ni report ya audititors kuhusu madeni ya EPA.
Nawashangaa sana watu wanaoona hapo kuna ushahidi. Jamani, ule u "great thinker" uko wapi?
Tatizo liko wapi hapo?
Kama DPP aliwataka Watanzania wapeleke ushahidi, na huyu bwana Msemakweli kapeleka "ushahidi" kwa mtazamo wake na aujuavyo yeye, tatizo nini?
Mpaka sasa sijaona "any incriminatory evidence" kwa RA wala kwa YM.
Swali: Kilichomfamya Msemakweli asifunguwe yeye mwenyewe kesi mahakamani ni nini?
Jibu: Anajuwa wazi kuwa hana "any incriminatory evidence" kuhusu RA wala Manji ndio maana akaamuwa kuupeleka "ushahidi" kwa DPP halafu kuu"leak" humu JF na kwingine ili ajipatie umaarufu kuonekana kuwa kafanya kazi kweli kweli.
Ukweli ni kwamba. huo anaosema "ushahidi" haupo wala hautoshelezi kumshitaki mtu. Na hiyo list aliyoitowa hiyo ilikuwa ni report ya audititors kuhusu madeni ya EPA.
Nawashangaa sana watu wanaoona hapo kuna ushahidi. Jamani, ule u "great thinker" uko wapi?
Huyu Sanze naye mwanasheria gani anasign vitu bila utaratibu? Wanataaluma wa Tanzania wako hoi kwelikweli; si wahasibu, wanasheria, wahandisi, n.k Kama hii ndiyo aina ya wanataaluma tulionao hakika itaichukua Tanzania miaka lukuki kufika tunakoenda.
Pole Kama ujaona,nakushauri pitia tena utauona tu...thanx
hivi kuna thread yoyote ulishawahi kui-support? ukijitambua, utaweza kujua masuala mengine yanayokuzunguka.Tatizo liko wapi hapo? Kama DPP aliwataka Watanzania wapeleke ushahidi, na huyu bwana Msemakweli kapeleka "ushahidi" kwa mtazamo wake na aujuavyo yeye, tatizo nini? Mpaka sasa sijaona "any incriminatory evidence" kwa RA wala kwa YM. Swali: Kilichomfamya Msemakweli asifunguwe yeye mwenyewe kesi mahakamani ni nini? Jibu: Anajuwa wazi kuwa hana "any incriminatory evidence" kuhusu RA wala Manji ndio maana akaamuwa kuupeleka "ushahidi" kwa DPP halafu kuu"leak" humu JF na kwingine ili ajipatie umaarufu kuonekana kuwa kafanya kazi kweli kweli. Ukweli ni kwamba. huo anaosema "ushahidi" haupo wala hautoshelezi kumshitaki mtu. Na hiyo list aliyoitowa hiyo ilikuwa ni report ya audititors kuhusu madeni ya EPA. Nawashangaa sana watu wanaoona hapo kuna ushahidi. Jamani, ule u "great thinker" uko wapi?
Ushahidi mpya hapa ni bank statement ya Manji jinsi fedha zilivyohamishwa Kati ya Dec 2005 na Machi 2006 baada ya uchaguzi so hapo uongo wa kutumia kinga ya CCM haupo.FF sipingi hoja yako kuu lakini Msemakweli atafungua kesi gani mahakamani na dhidi ya nani? Sidhani kama hapa kuna kesi ya madai. Hizi shutuma kama ni za kweli matokeo yake ni kufungua kesi ya jinai. Kesi za jinai huwa zinafunguliwa na kuendeshwa na Jamhuri. Sio watu binafsi kama akina Msemakweli.
FF sipingi hoja yako kuu lakini Msemakweli atafungua kesi gani mahakamani na dhidi ya nani? Sidhani kama hapa kuna kesi ya madai. Hizi shutuma kama ni za kweli matokeo yake ni kufungua kesi ya jinai. Kesi za jinai huwa zinafunguliwa na kuendeshwa na Jamhuri. Sio watu binafsi kama akina Msemakweli.
Ushahidi mpya hapa ni bank statement ya Manji jinsi fedha zilivyohamishwa Kati ya Dec 2005 na Machi 2006 baada ya uchaguzi so hapo uongo wa kutumia kinga ya CCM haupo.
Pili ametoa CRDB Holand record kuonyesha Manji kadhamini waliofungua Kagoda so kama Kagoda imeiba Manji ndiye mwizi ama anawajua wezi na aliwadhamini ama awalete ama aende jela.
Tatu kulipa fedha amelipa kama Jeetu Patel na Maranda saa kwann Maranda afungwe na Farijala wake yeye na Rostam wapete?
Nne Msemakweli katuambia Rostam na ukoo wake na wafanyakazi wake Barat Goda na Tabu wamelipa sehemu ya fedha za Kagoda kupotia Exim bank wakitumia kampuni ya Afritainer ambayo ushahidi unaonyesha ni kampuni pacha na Kagoda...
And more more just read the doc carefully
hivi kuna thread yoyote ulishawahi kui-support? ukijitambua, utaweza kujua masuala mengine yanayokuzunguka.
Huo wote ni ushahidi "circumstantial" na sio "solid" na ndio maana si Msemakweli wala Msemauongo wanaoweza kushitaki wao wenyewe na wanaupeleka kwa DPP, kwani wanajuwa kwa ushahidi kama huo, wakishindwa kesi! wanafilisiwa. Kwani hao watu unao "wapeleka" mahakamani dau lao ni kubwa.Ushahidi mpya hapa ni bank statement ya Manji jinsi fedha zilivyohamishwa Kati ya Dec 2005 na Machi 2006 baada ya uchaguzi so hapo uongo wa kutumia kinga ya CCM haupo.
Pili ametoa CRDB Holand record kuonyesha Manji kadhamini waliofungua Kagoda so kama Kagoda imeiba Manji ndiye mwizi ama anawajua wezi na aliwadhamini ama awalete ama aende jela.
Tatu kulipa fedha amelipa kama Jeetu Patel na Maranda saa kwann Maranda afungwe na Farijala wake yeye na Rostam wapete?
Nne Msemakweli katuambia Rostam na ukoo wake na wafanyakazi wake Barat Goda na Tabu wamelipa sehemu ya fedha za Kagoda kupotia Exim bank wakitumia kampuni ya Afritainer ambayo ushahidi unaonyesha ni kampuni pacha na Kagoda...
And more more just read the doc carefully
"Kagoda, Angloleasing, na Goldenbag wote ni mapacha watatu toka nchi mbili tofauti lakini wenye mazingira na nia moja.
Kagoda ilikuwa kashfa ya Tanzania, wakati Angloleasing na Goldenbag zilitokea kule Kenya.
Uhusiano ni kwamba wote hawa watatu kwanza walichota fedha za umma kwa wizi ili kufanikisha chaguzi za vyama tawala na pia zilisimamiwa na watu wa dola na Wafanyabiashara kwa Kiasia.
Nyaraka zote za Kagoda zilishughulikiwa kwa maelekezo maalumu yaliyoratibiwa na Idara ya Usalama wa Taifa, maofisa wa chama tawala na wale wa Benki kuu ya Tanzania.
Kama kawaida RA ndiye alikuwa mtafutaji wa fedha, wakati EL akiwa mtengenezaji wa genge la Mtandao kufanikisha ushindi wa JK.
Baada ya kupitishwa na chama chake, wahusika waliandaa bajeti ya uchaguzi na mikakati ya kusaka noti.
Mojawapo ya mkakati ulikuwa ni kuchota fedha za madeni ya nje pale BOT. Gavana Balali alipoambiwa akatoa maelekezo namna ya kupata hizo fedha.
Wanasheria walioisajili Kagoda walisimamiwa safe house Oysterbay kujaza nyaraka zote muhimu na wasimamizi walikuwemo watu wa Usalama na Chama makao makuu.
Mmoja wa wadhamini wa Kagoda ni mtoto wa mkurugenzi wa zamani wa Usalama wa taifa isipokuwa John Kyomuhendo ndiye aliyekuwa mtu hewa.
Baada ya kusajili kampuni, wakakabidhi power of attorney kwa RA, ambaye hakuwahi kusaini kokote wala kutoa fedha benki lakini mtoaji alikuwa PS wake aitwaye Tabu na mhasibu wa Caspian.
Bajeti nzima ya CCM mwaka 2005 ilikuwa bilioni 20, Kagoda ikachota dola milioni 33 sawa na bilioni kama hamsini kwa mahesabu ya sasa, lakini kwa wakati huo ilikuwa bilioni 40.
Mmoja wa watu waliokuwa wanaujua mpango huo lakini akaushtukia alikuwa Marehemu Salome Mbatia.
Nusu ya hela zilikwenda mfukoni mwa RA, balance ikaenda kusaidia chama japo hakuna ushahidi kama zilifika zote.
Kagoda ni kaa la moto kwa vile kukubali kuipeleka mahakamani kuna maana zaidi ya kesi ya kawaida na inaweza ikaangusha serikali hii.
Ndio maana majasusi wetu wamekuwa wakihaha usiku na mchana kuhakikisha hakuna dhahama ya Kisiasa.
RA alipojiuzulu nyadhifa zake alihadiwa protection kwa vile kawafanyia kazi zao chafu kwa umakini sana.
Wanabidii Kagoda ni zaidi ya Kashfa ni mzigo mbaya sana ambao serikali at all cost haiwezi kukubali kujimaliza yenyewe.
Akina Feleshi wanajua ila wameambiwa kuwa kimya au kuwapiga changa la macho.
Nitarudi baadae
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
From:*Richard Mgamba*<rmgamba2000@yahoo.com>
Date: 2011/9/1
Subject: Re: [wanabidii] MSEMAKWELI AIBUA YA ROSTAM NA KAGODA
Kwa upande wa Kenya, mpaka leo si Golden Bag wala Anglo Leasing waliofikishwa mahakamani. Moi alibuni Golden Bag kuchota hela za kusaidia KANU wakati wa uchaguzi, lakini Kibaki alipokuja naye akaibua Anglo Leasing chini ya Gema-Gikuyu, Embu Mount Kenya alliance, ikamsaidia kukaa madarakani kwa fedha haramu.
Leo hii aliyekuwa kinara wa Golden Bag ambayo ilichota kiasi cha dola milioni 500, Kamlesh Patni ni mlokole na Mwanasiasa pale Nairobi, lakini mfanyakazi wa Banki Kuu ya Kenya, David Mnyakei, alikufa kapuku baada ya kufukuzwa kazi mara moja na hakuna aliyemtetea. Alipougua typhoid alikoswa hata wa kumpeleka hospitali, akafa.
Ni vizuri kuchukua tahadhari ya kiusalama hasa unapopambana na dark and powerful forces. Kama Gavana anaweza kufia nje bila ushahidi na tukaamini hivyo, leo hii unadhani wahusika wako tayari kunyea ndoo? Thubutu, watafanya kila mbinu yasiwe hayo.
Manji ni muhuni na mwizi msomi wa Boston University, alibeba dhamana kwa niaba ya RA na akahadiwa protection. Leo hii Maranda anaoza jela, lakini akina Manji wanatanua, hiyo ndiyo Dunia tambara bovu..."
Mbona watu wengi tu huenda kufunguwa kesi za jinai polisi? kama hana ushahidi wa kutosha hata huy dpp atamshitaki nani? wewe umeona kuna ushahidi hapo wa kumshitaki mtu ukashinda?
Besides, nakubaliana na wewe kuwa kesi za EPA si za jinai kama wengi wanavyotaka ziwe. EPA ni madeni na kesi zake ni za madai na si za jinai. Ukilielewa hilo hapo ndio utajuwa kuwa Kikwete alipowataka waliochukuwa hizo pesa wazirudishe wenyewe, alifanya jambo la maana sana. Kwani ni wazi kabisa hizo ni kesi za madai na ukizifanyia papara kuzipeleka mahakamani unaweza kujikuta kuwa kesi inakuwa dragged kwa muda mrefu sana kiasi kuwa inakutia hasara zaidi na mwisho wake fedha usizipate na kesi ukashindwa.
Haya ya Kumtafuta RA na YM ni majungu tu, hakuna kesi hapo ni wajanja wachache wanajitafutia umaarufu. Na wajinga wengi wanaamini hapo kuna kesi. Nashangaa sana.