Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushahidi wa trilioni 3 zilizoibiwa JWTZ uko wapi?
Kwani wezi wakirejesha waliovyoiba hawashitakiwi? huoni kwamba vilivyorejeshwa vitatumika kama ushahidi wa wizi wao? Lakini siushangai mtazamo wako!Kwanini wapelekwe mahakamani wakati tayari wanajulikana na wameshaanza kuzirejesha hizo hela?
Anza wewe utengezezwe na vijana wa Mwema ili iwe fundisho kwa watu wa aina yako. Kunguru we!
Alishatuambia tuwe na subira. Namwaminia Invisible.Invisible is also part of the problem
Ushahidi wa TRILIONI 3 unao lakini umengangania kutuletea hivi vijisenti
nyie mlisema kuna ushahidi wa wizi wa dola milioni 670 JWTZ sasa uko wapi ushahidi mliosema mnao?
Kamati ya Mwanyika ilikataa habari za Manji za kujitetea kuwa hakuhusika na Kagoda kwa kudai kuwa babake ndo alihusika. Mwanyika na wenzake walichofanya ni kufunga account zote za Quality Finance Corp. Wakazuia passport yake asitoke nje ya nchi. Walidhamiria kumfirisi, na akadai kuwa alikopeshwa na Kagoda na Rostam akamshauri kuwa bora warudishe hela hizo
Umemaliza?
Hapa sijaona kitu kipya..ni yale yale tu tuliyoyazoea!
Huyu Msemakweli anajitafutia tu umaarufu.
Jk ni Mtanzania halipiHamna mwananchi wa Tanzania asiyelipa Kodi labda with an exception of Dr Wilbroad Slaa!
My concern hapa ni hii mada inayotolewa hapa ambayo haina mashiko!
fungu funguka funguka mwana....na mwaka huu magamba yatajibeba.mia
Mkuu sijui kama utaepuka banFck fck i hate this country let me go and smoke kush