Nyaraka mpya za Kagoda zawalipua Rostam, Manji

Nyaraka mpya za Kagoda zawalipua Rostam, Manji

Fck fck i hate this country let me go and smoke kush
 
kila siku afadhali ya jana ...aani kila siku ni vituko tu.....
 
ushahidi wa trilioni 3 zilizoibiwa JWTZ uko wapi?

Invisible keshaelezea hilo kwenye post yake ya 81.

Yes, kwa utajiri ulionao pesa za Kagoda ni vijisenti tu kwako na hapafai kuleta mada inayohusiana na vijisenti!!

Mkuu thread zako ni nyingi hapa, najiuliza tu iwapo hizi unnecessary derailing tactics zikifanyika kwenye topic zako kama utazivumilia...
Trolling is annoying!
 
Kwanini wapelekwe mahakamani wakati tayari wanajulikana na wameshaanza kuzirejesha hizo hela?
Kwani wezi wakirejesha waliovyoiba hawashitakiwi? huoni kwamba vilivyorejeshwa vitatumika kama ushahidi wa wizi wao? Lakini siushangai mtazamo wako!
 
Invisible is also part of the problem

Ushahidi wa TRILIONI 3 unao lakini umengangania kutuletea hivi vijisenti
nyie mlisema kuna ushahidi wa wizi wa dola milioni 670 JWTZ sasa uko wapi ushahidi mliosema mnao?
Alishatuambia tuwe na subira. Namwaminia Invisible.
 
Na bado Mungu atawaonyesha wezi wote wa nchi hii na ubovu wa hii gvt,binafsi naona ushindi umekaribia.
 
Kamati ya Mwanyika ilikataa habari za Manji za kujitetea kuwa hakuhusika na Kagoda kwa kudai kuwa babake ndo alihusika. Mwanyika na wenzake walichofanya ni kufunga account zote za Quality Finance Corp. Wakazuia passport yake asitoke nje ya nchi. Walidhamiria kumfirisi, na akadai kuwa alikopeshwa na Kagoda na Rostam akamshauri kuwa bora warudishe hela hizo

Hasira ishanipanda tayari, nileteeni panga langu hapa!
 
Fro this unaweza kujua kuwa system inajua kila kitu ila haikutaka au iliogopa kuchuua hatua mapema . I can sense Msema kweli is from within the "system"

So they need Wanaanchi to push and press them hard ili system ifanye kazi yake inayotakiwa kufanya vizuri ......Maajabu


Ok msema kweli Asante kwa kubutua mpira huu wa kagoda tena.. Haya yote naamin yanajulikana na yalijulikana lakini MSema kweli ametumiwa ili "watazamji" tuamini mechi ndio inaaanza na ni itu kilikuwa hakijulikani na mtu yeyote.
 
aisee, asante sana Kato kwa kumwambia Msemakweli ukweli, asante Invisible kwa kutuletea taarifa za Msemakweli, hata hili ya Shimbo ukifika wakati muafaka ukweli utajulikana tu. tunasubiri tuone sijui ushahidi gani mwingine utakaotakiwa
 
Kwanza walaaniwe wale wote wanaotetea unyama huu hapa jamvini, lakini kwa nguvu za mungu waliowengi watashinda tu.
Pili ahsante sana Invisible kwa issue kubwa kama hii! hawa wakina Rejeo,SlidingRoof,mwita 25,kishongo etc. wasikuumize kichwa,
kwani hata Egypty,Tunisia,kenya,zambia na sasa Libya kulikuwa na watu kama hawa waliokuwa wanazitetea serikali dharimu dhidi
ya waliowengi....lakini leo hii wote wamesambaratika na hawaamini kilichotokea na wamebaki na aibu ya majuto. Ahsante sana Invisible,
ahsante sana Msemakweli!
 
Jamani wapi Mwanakijiji,Mkandara,EMT na Kiranga? tunahitaji mtazamo wenu kwenye issue hii!
 
Umemaliza?
Hapa sijaona kitu kipya..ni yale yale tu tuliyoyazoea!
Huyu Msemakweli anajitafutia tu umaarufu.

Mkuu huu ni mchezo wa seriali yako ya CCM imeamua kumtumia msema kweli kupuliza kipenga upya. Hakunaj ipya sana ila nadhani serikali ya CCM imeamua kupiga kipenga upya ili itumie formation mpya ambazo inadhani "watazamaji "na "mashabiki" watafurahia . Hii formation sio 442 au 352. formation ya CCM ni kujivua magamba. Ngoja tuone. Kama serikali ya CCM kwa nia ya dhati imeipa "system" Go ahead kuhusua EPA tusubiri
 
Hamna mwananchi wa Tanzania asiyelipa Kodi labda with an exception of Dr Wilbroad Slaa!

My concern hapa ni hii mada inayotolewa hapa ambayo haina mashiko!
Jk ni Mtanzania halipi
 
Tunashukuru sana Invisible kwa kukusanya ushahidi makini kiasi hicho. Tunachoomba watanzania sasa ni kuhakikisha kuwa manyang'au hao wanaburuzwa mahakamani ili haki itendeke. Tunawaombea ulinzi wa Mungu wote waliohusika na utoaji wa dats/ushahidi.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, DPP na Takukuru, hembu jibuni hapo maana sasa hasira ya watanzania itawawakia wakati na muda msioufahamu.

Serikali Kuu mpo?? Jibuni hapo tuwasikie! Hembu MS unganisha na ile ya Shimbo hapo watu wachukue cover!
 
fungu funguka funguka mwana....na mwaka huu magamba yatajibeba.mia

Ni passover ya Tanzania; safari ya nchi ya ahadi inaanza ole wake yule atakaye tulazimisha kuzunguka jangwani miaka 40 kwakukosa imani! ole wake huyo Musa atakapo piga mwamba mara mbili kwakukosa imani; ataiona nchi ile kwa macho lakini hataingia humo. Ole wao waliozoea masufuria ya nyama ya misri maana wote waishia Jangwani lakini kizazi chao Mungu atakinusuru kiingie kwenye nchi ya ahadi. Prince bado anashikilia decree yake hakuna fisadi atakaye kanyaga Ikulu ya Tanzania tena! Na mpaka wote wajue kuwa wewe ni Mungu wa wote wenye mwili!
 
Sasa nimeelewa ile tic tic tic count down ya MMMK!
 
Back
Top Bottom