Nyaraka mpya za Kagoda zawalipua Rostam, Manji

Nyaraka mpya za Kagoda zawalipua Rostam, Manji

Hii ishu inakuja vizuri hongera Msemakweli. Makamanda msiiioogope, msiooogope, hili suala likienda mahakamani watu watajitokeza tu kutoa ushahidi kwa sababu linauma watu wengi sana. Haya makupe yanakatisha watu tamaa inawezekana na wao walipata mgao. Watu wapo series wao wameshaingiza mambo ya Igunga. Msemakweli komaa nao mpaka kieleweke.

Ule msamaha wa Rais watu waliporudisha pesa bila kuchukuliwa hatu zozote ndio imekuwa fimbo ya kumchapa. Watu wamegundua kuwa hata ukiiba kumbe unasamehewa. Sasa atamwambia nani aache kuiba wakati keshahalalisha sheria ya kuwa mwenye uwezo akiiba anasamehewa lakini mafukara wahukumiwe miaka 30. Na ndio maana hii nchi sasa inamtesa hakuna anaemsikia.
 
kuna hii namba ya simu +255 22 286 2861 372 kwenye anuani imekua colored yellow!!

kulikoni??
 
kweli hawa wanga tena ni hatari sana zaidi ya ukimwi...manji na ristam kwanini msituache sisi waswahili nanyi mkaenda kwenye nchi zenu...kwanini mnatufanyia hivi jamani, we hate you rostam..
 
tutafuteni jinsi yakuchoma malizao hata kama hatuna siraha hata petrol imekosekana wa kubwa?
 
Umemaliza?Hapa sijaona kitu kipya..ni yale yale tu tuliyoyazoea!Huyu Msemakweli anajitafutia tu umaarufu.
Aha Rejao Mzee wa kuuma na puliza ni lipi ulitegemea liwe geni? Hakuna geni ila sasa ushahidi umewekwa wazi na hivyo kuinyima nafasi serikali kuendelea kudai haiwajui Kagoda!!!!BAdo unataka ushahidi zaidi?Tiba
 
Nakubaliana na wewe kabisa, lakini kwanini hii habari ije wakati huu?
Kuna ajenda gani?
Ukifuatilia posts zangu, hamna sehemu yoyote nimeitetea CCM.
Ishu ya Kagoda kila mtu anaifahamu, imekuwa masikioni kwetu kwa miaka sasa! Hakukuwa na sababu yoyote ya kuifanya big deal.

Tulimshauri MS akatibiwe malaria sugu akaingia mitini, wewe naona umetoroka hospitali kwa hiyo huna pakukimbilia ila kujiadhiri tu hapa na umasaburi.
 
Unajua kuna watu hawaelewi jinsi hizi inshu zinavyowaathiri watu. Watu hawafanyi kazi kwa morali sababu ya hizi inshu, watu wamekata tamaa kutokana na kuelewa kuwa kuna watu wanailaghai serikali na kupata pesa kiulaini laini tu.

Sasa ni muda muafaka DPP afanye kitu kitakachoridhisha mioyo ya watanzania waweze kujenga nchi yao kwa moyo wa kizalendo. Vinginevyo, tutaendelea kwenda kazini kukaa na kupiga stori za ufisadi, upupu wa viongozi na inshu zisizo na maana.

Serikali yetu ina viongozi wasioweza kukemea wala kutenda yale yanatarajiwa na wananchi ili waendelee kuiamini. Sijui kama kuna professionals wanaweza kuelewa namna nguvu kazi ya taifa inavyokuwa de-motivated kutokana na viongozi wezi na kuathiri ustawi wa uchumi wa nchi.
 
Jamani hii sasa ni kali,nchi hii sijui tunaipeleka.Tumsubiri huyu DPP kilaza atafanya nini maana ushahidi kashapata

Hakuna kesi hapo maana Fisadi papa ni muhusika mkuu. Mwacheni siku zake zinahesabika tena atengeneze makao yake kule Segerea akiachia ngazi.
 
Kumbe yuko biased!<br />
Hapo tayari nimeshaona tatizo la huyu jamaa lipo wapi.
<br />
<br />
aidha umebaka mada au umetumia masaburi kufikiri. jamaa kasema kuwa manji na rostam wanalazimisha waTz waamini hela zimeenda kwa ajili ya uchaguzi lkn jamaa kakataa kasema ushaidi hauoneshi ccm kuhusika sasa iyo bias imetoka wapi? au ndo lazima uwe against???
 
Invisible is also part of the problem

Ushahidi wa TRILIONI 3 unao lakini umengangania kutuletea hivi vijisenti
nyie mlisema kuna ushahidi wa wizi wa dola milioni 670 JWTZ sasa uko wapi ushahidi mliosema mnao?
 
Inaonekana CCM waliambulia mkopo wa $2,000,000 toka kwa Manji hapo Oktoba 25, 2005.......na sisi WaTZ tukalipa $30m kwa Manji (na Rostam) kwa hiyo Msemakeli kakosea kusema hela hazikutumika kwa ajili ya kuipa CCM ushindi
 
tutafuteni jinsi yakuchoma malizao hata kama hatuna siraha hata petrol imekosekana wa kubwa?

Anza wewe utengezezwe na vijana wa Mwema ili iwe fundisho kwa watu wa aina yako. Kunguru we!
 
Kwa maelezo hayo na viambatanisho hivyo kama DPP atashindwa kuwafungulia kesi hawa wahusika sioni sababu ya kuwa na DPP au kuwa na ofisi hiyo ya DPP !!

Ni aibu kubwa kwa mtu au ofisi iliyopewa mamlaka kubwa kushindwa kupata ushahidi wa jinsi hii hadi itokee mtu baki...

Nchi hii inachosha sana. Na Kikwete kazi yake ni kula futali tu wakati anajua wazi anachafuliwa na hawa washenzi wachache...NILIAMINI PIA HELA ILE ILITUMIKA KWENYE UCHAGUZI.. Rais amka sasa!!!
 
Haya maushahidi yatatusaidia sana when CCM gets out of power, anakamatwa mmoja baada ya mwingine. History ni tamu sana, these thieves will never get away with this, that's the only thing that comforts me.


ndiyo maana ya kujiuzulu kwa yule mwizi mkubwa foregner mwiran rostam azizi,mambo yote aliyofanya ikiwapo na kununua majumba canada atalipa
 
Back
Top Bottom