2simamesote
Senior Member
- Jun 27, 2011
- 109
- 13
ndugu punguza haraka subiri atupe data ndo uanze ku judge,Umemaliza?
Hapa sijaona kitu kipya..ni yale yale tu tuliyoyazoea!
Huyu Msemakweli anajitafutia tu umaarufu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugu punguza haraka subiri atupe data ndo uanze ku judge,Umemaliza?
Hapa sijaona kitu kipya..ni yale yale tu tuliyoyazoea!
Huyu Msemakweli anajitafutia tu umaarufu.
Usipende kurukia vitu juu juu!@Rejao, comment yako ya kwanza kwenye hii thread umeandika kuwa hizi habari 'zinastua'. Sijui ni boss wako kakumbusha kuwa uko kazini maana sasa unaonekana kuandika kinyume na your first reponse. Ungekuwa wewe ni witness mbele ya hakim basi ungekuwa kama yule New York Maid aliyejichanganya na madai ya kubakwa na boss wa IMF.
Nikukumbushe kwa mara nyingine tena, ukiwa mwongo basi uwe na kumbukumbu nzuri!
Ndo manake, sasa subiri usikie Mkapa atakavyochanwa na yeye...... ila nimeona media pekee iliyoenda kwa Msemakweli ni ITV tu sielewi TBC na wengine hawakuitwa?Mkuu katika siasa timing ni muhimu. Kama hii ya Kainerugaba ni timing wala haina shida ndio siasa zenyewe hizo
Umemaliza?
Hapa sijaona kitu kipya..ni yale yale tu tuliyoyazoea!
Huyu Msemakweli anajitafutia tu umaarufu.
Kwa wananchi.Duh mbona inaonekana Rostam hakamatiki!!! Amecheza na sheria za makampuni. Haonekani popote kama mwanahisa ama mkurugenzi sasautamshitaki vipi huyu?
Hakuna jipya hapa, hizi ni kampeni za Igunga zimeanza kwa staili ya MAJITAKA.<br />
Sishangai.....ndivyo CDM walivyo. Lakini hamna madhara, wataishia kuwa chama cha WANUNG'UNIKAJI'.
What do u mean?Id yako ni ya KIPONJORO
Source: Gazeti MwananchiWakati huo huo, Mwandishi Mosses Mashalla anaripoti kutoka Arusha kuwa, Mwasisi wa Chadema, Edwin Mtei amesema kuwa kitendo cha CCM kuamua kumtumia mbunge aliyejiuzulu kwenye jimbo hilo, Rostam kwenye kampeni za uchaguzi huo mdogo, kitawagharimu.
.......Alisema kuwa wao kama Chadema watatumia mkakati huo wa CCM kama sehemu ya kujiibulia kura kwa kuweka hadharani kashfa zake.
Mtei na Rostam
Wakati huo huo, Mwandishi Mosses Mashalla anaripoti kutoka Arusha kuwa, Mwasisi wa Chadema, Edwin Mtei amesema kuwa kitendo cha CCM kuamua kumtumia mbunge aliyejiuzulu kwenye jimbo hilo, Rostam kwenye kampeni za uchaguzi huo mdogo, kitawagharimu.
.......Alisema kuwa wao kama Chadema watatumia mkakati huo wa CCM kama sehemu ya kujiibulia kura kwa kuweka hadharani kashfa zake.
Source: Gazeti Mwananchi
Dah mkuu kumbe na wewe unawajua, huyo ni mzee wa THT anakula taratiiibu ndani ya nyumba ya serikali na mziki mzito wa ahadi.Hahahaha
Namsubiria Mwita25...
umenununuliwa na wahindi kwa kiasi gani?Kumbe yuko biased!
Hapo tayari nimeshaona tatizo la huyu jamaa lipo wapi.
Ulikula BAN ya dakika 3
Bold sentence na kwa nini isiwe issue wakati watu wameiba fedha za watu? Kun namna hapa,Nakubaliana na wewe kabisa, lakini kwanini hii habari ije wakati huu?
Kuna ajenda gani?
Ukifuatilia posts zangu, hamna sehemu yoyote nimeitetea CCM.
Ishu ya Kagoda kila mtu anaifahamu, imekuwa masikioni kwetu kwa miaka sasa! Hakukuwa na sababu yoyote ya kuifanya big deal.