Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,108
mbona wezi wa kuku mitaani wanapigwa, wananyang'anywa halafu wanapelekwa polisi then mahakamani. We vipi?Kwanini wapelekwe mahakamani wakati tayari wanajulikana na wameshaanza kuzirejesha hizo hela?