Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,508
Kama ishu ya kagoda inafahamika na kila mtu kwa nini basi uwe na wasiwasi kuletwa wakati huu?Nakubaliana na wewe kabisa, lakini kwanini hii habari ije wakati huu?
Kuna ajenda gani?
Ukifuatilia posts zangu, hamna sehemu yoyote nimeitetea CCM.
Ishu ya Kagoda kila mtu anaifahamu, imekuwa masikioni kwetu kwa miaka sasa! Hakukuwa na sababu yoyote ya kuifanya big deal.