Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,064
thinking is not prohibited!!!!!! Madhara ya kutoka milembe kabla hujapona vizuri!!!
Naona mmekosa chakuandika!usiwe kama mlevi aliyeshughulikiwa, na kujitetea kwamba wameshughulikia pombe!
Poleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thinking is not prohibited!!!!!! Madhara ya kutoka milembe kabla hujapona vizuri!!!
Naona mmekosa chakuandika!usiwe kama mlevi aliyeshughulikiwa, na kujitetea kwamba wameshughulikia pombe!
Haya ndio madhara ya kutumia tundu la kati kufikiri badala ya ubongo, Invisible alichoripoti ni Press conference na sio Investigation news, hivi hili nalo linahitaji degree kulifahamu?Hahaha..umenikumbusha mbali mkuu!
Na hii habari soon CEO atakuja kututaka radhi kupisha uchunguzi!
Soon hii sredi itaondolewa!
Rejao,Naona mmekosa chakuandika!
Poleni
Timing mbaya mkuu?
Haha..tundu la kati ndio nini?Haya ndio madhara ya kutumia tundu la kati kufikiri badala ya ubongo, Invisible alichoripoti ni Press conference na sio Investigation news, hivi hili nalo linahitaji degree kulifahamu?
usiwe kama mlevi aliyeshughulikiwa, na kujitetea kwamba wameshughulikia pombe!
Asante sana mkuu, Ubarikiwe sana. Sasa, ile ya SHIMBO vipi?
HahahahaYeah...
Mwanzoni alianza vizuri..nikajua anakuja na kitu kipya ambacho ni so interesting. Nilikuwa na hamu sana ya kukifahamu!
Post zilivyozidi kuendelea nikarealize kuwa ni marudio ya kila kitu! Wana spam tu ubongo wangu
Mkuu, we mwaga data bana usiipoliticise ile ishuSubiri aiongelee Msemakweli, maana hata hii yenyewe si niliiweka mwenyewe hapa kwanza? Akitoka nayo Msemakweli au Dr. Slaa mtawaamini kirahisi... Itakuwa BIG NEWS ha ha ha (wakuu tusivuruge mjadala)
Nakubaliana na wewe kabisa, lakini kwanini hii habari ije wakati huu?Rejao,
Unafanya kazi nzuri, kama 'ungekuwa' unalipwa basi ulitakiwa kuongezewa ngawira...
LAKINI kumbuka kuwa hata Msemakweli kaitetea CCM katika hili, kasema mwizi awe treated kama mwizi na asituhamishe kuamini kuwa kuna wengine hivyo yeye hana hatia.
Hahahaha
Namsubiria Mwita25...
Hahahaha
Namsubiria Mwita25...
Political timingNakubaliana na wewe kabisa, lakini kwanini hii habari ije wakati huu?
Kuna ajenda gani?
Ukifuatilia posts zangu, hamna sehemu yoyote nimeitetea CCM.
Ishu ya Kagoda kila mtu anaifahamu, imekuwa masikioni kwetu kwa miaka sasa! Hakukuwa na sababu yoyote ya kuifanya big deal.
kuna usemi nausikiaga. unasema, "anything you do I can do it better". so magamba wawe na tahadhari sana. they are not the best but just good or better for other to easily compete withTiming mbaya mkuu?