Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

Moseley

Senior Member
Joined
Jul 10, 2010
Posts
187
Reaction score
98
Habari zenu wana-JF?

Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu..

Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri.

Shukrani!


Mifano ya Barua ya Maombi, Wasifu (Resume) na Rejea (Reference):
Kwa hisani ya HMS
 
Last edited by a moderator:
Tatizo letu ni kusoma kwa kukariri na si uelewa,Kwa hali ya sasa jinsi teknolojia inavyopanuka ni ajabu sana mtu uweze kufika hapa jamvini na ukashindwa kucheza na google na kupakua mavitu unayoyataka!!!!! kazi ipo,tatizo ukipewa ya hapa utakaririi pia mkuu,umiza kichwa kaka!!! ila pole kama nitakuwa nimekukera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…