Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

Kwa hiyo sisi 2lio ishia darasa7 kazi hatufanyia au
Baba yangu ni dereva mkongwe ambae amefanya kaz kwenye shiriki ya UNHCR kigoma miaka mingi mnoo..
Ila yeye elimu yake ni darasa la saba zaman kabsaa
Aliachaga kazi kwenye shirika, then akaja kupata kaz halmashauri ila baada ya muda wakamtoa wakamwambia wanahitaj cheti cha form 4 [emoji24]
Aliend mpka kurenew lesen VETA na mzee mzima akasoma.ila wap
Bila kupata chet cha form ajira serikalini amezikosa

Ila.kimtaa mtaa huwez kosa kazi za dereva
 
Msaada mwenye kujua.

Cover letter ndiyo CV.

Ikipatikana na sample ya cover letter itapendeza zaidi.
 
Mwenyee mfano wa Cover Letter atumee kwanzaa viongozii[emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
 
Wakuu naombeni msaada kwa anaejua kujiunga kwenye mashirika ya afya kwa semina mbalimbali
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayri kuingia naye mkataba awe anakata 10% ya mshahala wangu ndani ya miezi 12.asanteni
 
Back
Top Bottom