Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

wadua habari ,naombeni msaada ni kampuni zipi ,zinasaidia kupata kazi katika ofisi mbalimbali,yani huwa wanatumiwa na taasisi mbali mbali kuwatafutia wafanyakazi ,mfano kuna dada anafanya kazi MSD ,alipata kazi kupita kampuni fulani inawafanyia usahili mkifaulu mnaajiliwa
Ukipata nijuze
 
wadua habari ,naombeni msaada ni kampuni zipi ,zinasaidia kupata kazi katika ofisi mbalimbali,yani huwa wanatumiwa na taasisi mbali mbali kuwatafutia wafanyakazi ,mfano kuna dada anafanya kazi MSD ,alipata kazi kupita kampuni fulani inawafanyia usahili mkifaulu mnaajiliwa
Sasa si ungemuuliza huyo dada akutajie! Lakini anyway jaribu kufika TAESA nenda na vyeti na kopi zako watakusajili then utasubiria call au text siku ikifika ya training then utafanya interview.
 
Pole sana dogo. Ebu angalia hii (angalia attachment), iko rahis kidogo lakini ina kila kitu muhimu. Ukivutiwa nayo ichukue. Ziko format nyingine ambazo ni ngumu kidogo, kama vile EU format (European format).

View attachment 51049View attachment 51050

Au nenda kama hivi:

CURRICULUM VITAE


NAME: Jamii Forums NATIONALITY: Tanzanian

ADDRESS: P. O. Box 2012, DSM DATE OF BIRTH: 26[SUP]th[/SUP] June, 19xx

Tel: +2557xxxxxxxx MARITAL STATUS: Single/Married/Divorced/Widowed

Email:
jamii@yahoo.co.uk SEX: Male/Female

forums@gmail.com



OBJECTIVES:
To work in a position of Senior System Analyst where I can get more knowledge and increase my experience as a System analyst.

EDUCATION BACKGROUND:

(i). INSTITUTE LEVEL: Dar es Salaam Institute of Technology (DIT), DSM, Tanzania. DATE: from 2002 to 2005. COURSE: BSc. INFORMATICS. AWARD: Degree in Informatics Science. DURATION: Three years. GRADUATION DATE: May 2005

(ii). ADVANCED LEVEL: CCM Secondary School, Dar es Salaam, Tanzania.
DATE: 1998-2000. COMBINATION SUBJECTS: Physics, Chemistry and Biology.
AWARD: Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE).
GRADUATION DATE: May 2000.

(iii). ORDINARY LEVEL: CHADEMA Secondary School, Kilimanjaro, Tanzania. DATE: from 1994 to1997. SUBJECTS TAKEN: Science subjects, AWARD: Secondary Education Examination (CSEE).
GRADUATION DATE: November 1997

WORK EXPERIENCE:
From March 2008 up to present.
I was employed by the Jamiiforums as system analyst.
My duties is to maintain and check that our oracle database is running smoothly.
From May 2005 to October 2007
I was employed by Jamii Commercial Bank as Internal System Analyst.
My duties there were to make sure that the banking systems (ATMs, transactions and new member registration) were working.
I also did

From 23[SUP]rd [/SUP] June 2003 to 31[SUP]st[/SUP] August 2004
I was temporally employed by an auditing firm known as Forums Inc. I was employed as Senior System Security Officer.
My duties were to check the sequrity system of firm database.

EXTRA CARRICURUM VITAE:

(a). Best worker in the department of ICT in Jamiiforums for the year 2010.

(b). Participant in the ongoing project of Fiber Optic Installation Project, in dare s salaam region
.
(c). Winner of Third position in Overall Academic Performance in the field of INFORMATICS, Third Year in academic year 2004/2005.

REFEREES:

(a). Mr. Chadema, Principal system analyst, CCM IT Consultants, Tanzania. Tel: +255 7vvvvvvvvvv

(b). Mr. CCM, Chief Internal Auditor, Forums Inc, DSM. Tanzania. Tel: +255 7rrrrrrrrrrr

(c). Dr. CCM CHADEMA, Project Coordinator, Fiber Optic Installation Project.Tel: +2557&&&&&&&&&
ulisaidia sana asee
 
WHAT MAKES A GOOD CV?Preparation is everything when applying for a new role. BABA GK company has developed some guidelines to help you write a CV.

The Importance of a Great CV
To introduce and differentiate yourself and your skills
Your CV is your own personal marketing tool and is your first step in giving the opportunity to evaluate your suitability for an interview
To pick out your competence in key areas against the job profile
To present your professional record, including accurate abilities and achievements

Most CVs will include the following sections:
Full name and contact details (include both work and personal emails)
Personal profile Employment history in reverse chronological order
Education, qualifications and professional development
Additional information
Top Tipssimple and your spelling and grammar are perfect!CV ExampleYOUR FULL NAMEHouse Name/Number, Street Name, City, CountryTel: 000 000 | Mobile: 1234 5678 | mzeebake@email.comPROFILE [OPTIONAL]________________________________________________________________________
_ This is 2-3 sentences or a few bullet points, highlighting clearly your key skills and experience These points should reflect those required for the role you are applying for so you may want to tailor for each roleExample

A development professional with over 15 years experience performing in [insert major work areasand job strengths] Proven ability to [insert skills related to job role]

Extensive knowledge of [insert knowledge related to job role]

Specialist in [insert skills or knowledge that is your own unique selling point]

PROFESSIONAL EXPERIENCE
If you have a long work history, you may like to summarise sections, providing details on only your most recent and relevant roles.
 Include the year and month starting from your most recent experience
 Highlight your actual position title
 Write a brief description of your main responsibilities including line management and professionaldevelopment responsibilities
 Note any special achievements or initiatives undertaken
 Use action verbs to include statements of responsibility e.g. led, managed, oversaw, developed, designed,created, coordinated, negotiated, served, analysed, performed, supervised, conducted, introduced,implemented, started, sold, integrated, automated, built, installed, refined, deployed.
 Try to include sample statements in the format below. If possible explain your task and the resultingachievement. Also try to quantify results if possible.
Example:AAA Company, BBB Country May 2005 - PresentJob Title

Led the strategic development and management of AAAs humanitarian, development andadvocacy/campaigning programme in BBB Country
Overall responsibility for 250 employees in nine field and coordination offices across fiveProvinces, as well as a budget responsibility of GBP 13 million.
Represented AAA at various high level fora both inside BBB Country (up to President CCC) andinternationally (high-level lobbying in Washington and London).
Resolved issue of country office finance crisis from being GBP100,000+ in debt, attainingfinancial stability in less than 12 months.

BBB Company, CCC Country Jan 2001 - May 2005Job Title Responsible for

Led the implementation of

EDUCATION AND QUALIFICATIONS

 List your education and academic achievements to date in reverse chronological order including qualifications and grades achieved, and the year achieved

 As your work experience increases you should put less emphasis on your education and achievements andmore on work experience

 If you left university/educational establishment a number of years ago, summarise your educationalqualifications and highlight more recent and relevant qualifications.

Example:AAA University 1995-1996MSc in Development Practice[insert additional info such as publications, scholarships, awards]

PROFESSIONAL DEVELOPMENT

 Include key relevant courses from the last five yearsExample: MZEE BAKE TZ Leadership Development Programme June 2008LANGUAGES
 Indicate the level of language ability e.g. Bi-lingual, Fluent, Good comprehension, BasicExample: Very fluent speaker of Swahili
Basic written Mandarin

ANY ADDITIONAL INFORMATION

 Your opportunity to include any other material that will help the recruiting manager gain more useful information about you , e.g. positions of responsibility in and outside of work, other relevant skills or experience INTERESTS AND ACTIVITIES
 Optional. If you decide to include, do make your interests interesting!Developed by Global HR, MZEE BAKE, November 2011
nakubali aises
 
Habari.

Nimekutengenezea CV. Nime ambatanisha mafaili matatu. Kuna cover letter, Resume na Reference ambayo ni referee.

Hata siku moja usiweke referee kwenye CV yako. na usije ukaandika Curriculum Vitae kwenye Resume yako, ni makosa. utaonekana sio professional.

Natumai nimekupa mwanga. Unaweza uka edit hizo attachments kutokana na ujuzi na kisomo chako.
thank you
 
Wasifu binafsi ni maelezo yanayopambanua maarifa, ujuzi na uzoefu alionao mtafuta kazi kwa lengo la kumshawishi mwajiri kuwa anazo sifa na vigezo vya kuweza kufanya kazi iliyotangazwa.

[emoji117] kuandika wasifu binafsi, mambo saba ni ya muhimu kuzingatia:

1. Taarifa za msingi za mtafuta kazi
Weka taarifa zinazokutambulisha kama vile majina yako kamili, jinsia, hali ya ndoa, tarehe ya kuzaliwa, utaifa na njia muhimu za mawasiliano zinazoweza kutumiwa kukufikia.
Mfano:
Jina:
Utaifa:
Mahali pa kuzaliwa:
Tarehe ya kuzaliwa:
Hali ya Ndoa:
Anwani ya Posta:
Simu:
Barua pepe:

Hata hivyo, zipo taarifa nyinginezo zinazoweza kuwa muhimu lakini zisizo na ulazima wa kufahamika. Hizi ni kama kabila, dini, idadi ya watoto na mitazamo au ufuasi wa kisiasa.

Unaweza kuwa na aya moja yenye mhutasari wa wasifu wako, ukaeleza tunu zinazoongoza utendaji wako wa kazi. Aya hii inapoandaliwa vizuri hujenga taswira ya mtu anayejitambua.

2. Sifa za kitaaluma
Kuna namna nyingi za uandikaji wa sifa hizi, lakini kilicho muhimu ni kueleweka. Anza na ngazi ya juu zaidi ya kitaaluma uliyofikia na shuka mpaka ngazi ya chini. Onesha mwaka yalipofanyika mafunzo hayo, tunuku ya kitaaluma (mfano cheti, Stashahada, shahada) na chini yake taja taasisi iliyotoa tunuku hiyo na mahali ilipo (mfano shule, chuo na kadhalika).
Mfano;
2011-2013: Shahada ya Sanaa katika Stadi za Mazingira
Chuo Kikuu cha Kikatoliki Mwenge, Moshi

Kwa kawaida, sifa hizi huwa ni zile zinazohusiana na mafunzo ya ujuzi yatolewayo kwa ngazi ya chuo kukupa utaalam. Lakini waweza pia kutaja ngazi ya Cheti cha Juu cha Elimu ya Sekondari na Cheti cha Elimu ya Sekondari.

3. Uzoefu na historia ya kuajiriwa

Onesha ajira ulizowahi kuzifanya iwe kwa ajira rasmi au kwa kujitolea. Orodhesha uzoefu wako kwa mtiririko wa aina ya ajira kuanzia ya hivi karibuni zaidi au uliyonayo, taasisi husika pamoja na mwaka wa kuanza na kumaliza kazi hiyo.

Kumbuka kuwa mwajiri makini hutafuta kuona maneno muhimu kama "kuzalisha/kuongeza (ufanisi)", "kupunguza/kuondoa (changamoto)", "kubuni", "kuanzisha", "kusababisha", "kubadili", "kuchangia mabadiliko", "kuwezesha" na mengineyo.

Kwa mfano,

2013-2015: Mwandishi wa Habari za Mazingira, Mwananchi Communications Ltd

Kwa kushirikiana na wenzangu, nilibuni utaratibu wa…ambao ulisaidia kuondoa changamoto ya…iliyokuwepo awali.

Usipoteze muda kueleza majukumu yako ya kila siku. Tafuta maeneo ambayo mchango wako ulionekana na yataje kwa kutumie vitenzi tulivyovitaja hapo juu.

4. Ujuzi na weledi

Katika sehemu hii onesha aina ya ujuzi na weledi uliowahi kuupata kupitia warsha, semina na makongamano yalivyokusaidia kuongeza ujuzi mwepesi unaoweza kukusaidia "kuzalisha", "kukuza", "kubuni", "kuanzisha", "kusababisha", "kubadili", "kuchangia mabadiliko" na "kuwezesha". Onesha mahali, mwaka, shughuli husika na malengo yake kwa mtiririko wa kuanzia hivi karibuni mpaka yale ya zamani.

5. Machapisho na tafiti

Kama kazi unayoomba inahusiana na masuala ya taaluma na elimu (mfano ualimu, ukufunzi, utafiti, uhadhiri), onesha machapisho na tafiti ulizowahi kuzifanya na kuziandika. Hapa, utaonesha jina la chapisho husika, mchapishaji na mwaka lilipochapishwa. Lengo ni kuonyesha ushiriki wako katika kutafuta majibu ya changamoto zinazoikabili jamii, ikiwa ni pamoja na kuchangia kukuza maarifa yaliyopo.

6. Tuzo au heshima

Mwajiri huvutiwa na mtu anayeweza kuonesha namna jitihada zake zilivyotambuliwa na wengine. Onesha namna bidii, na ari yako ya kazi ilivyowahi kutambuliwa katika ajira zilizopita. Si lazima iwe kazini tu, yaweza kuwa katika masomo, lakini ziwe tofauti na zile tunuku za kitaaluma moja kwa moja.

Maneno kama, "nilishinda", "nilituzwa" na "nilitambuliwa", kwa sababu ya shughuli, majukumu, jitihada zilizowahi kufanywa, yanakuongezea nafasi ya kukubalika.

7. Orodha ya wadhamini

Taja watu wanaoaminika wanaoweza kutoa ushuhuda wa uwezo na weledi wako. Orodhesha angalau watu watatu wenye nyadhifa zinazotambulika na wanaokufahamu vizuri iwe kwa sababu wamekufundisha au waliwahi kufanya kazi na wewe.

Ni vizuri kuwasiliana nao kabla ya kuwataja kwa kuwa wanaweza kuulizwa pasipo wewe kujua. Na wakati mwingine ni vyema kuwaomba kukuandikia barua ya utambulisho ukazitumia inapolazimika.



Zingatia

-CV nzuri hubadilika kukidhi matakwa ya kazi inayoombwa.

-Imeandikwa kwa ufupi na haizidi kurasa mbili

-Ina taarifa nyingi muhimu lakini kwa maelezo yanayoonekana kirahisi

-Imeandikwa kwa umakini na haina makosa ya kiuchapaji

-Haina taarifa zilizotiwa chumvi au uongo

-Haina picha ya mwombaji
Mungu akubariki
 
Sijawahi kuandika barua ya kazi au kuomba kazi zaidi ya kuandika uzi hapa jf kuwa nilimaliza degree ya Procurement ivyo natafuta connection.

Hivi wakuu nauliza hizo mambo za kuandika barua sina mzuka nazo kabisa. Mimi nataka nichukue ela zao waajiri kwenye biashara na sio mishahara.
 
Nauliza

Refferes wanaohitajika wakati wa kutuma maombi ya kazi hasa serikalini ni akina nani.?
 
Naombeni msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya kufuta saved academic qualification kama unataka ubadilishe kwenye acount ya ajira portal
 
NAUZA BIASHARA YA CAR WASH:

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
NAMBA YA SIMU: 0717 26 33 77

MAELEZO:

MACHINE ZOTE, UJENZI, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k JUMLA: TZS 7,000,000
NIMEBAHATIKA KUPATA KAZI SERIKALINI NA KITUO CHANGU KIKO MKOANI, SO NIMEAMUA KUUZA HII BIASHARA.
 
Naombeni msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya kufuta saved academic qualification kama unataka ubadilishe kwenye acount ya ajira portal
Hili hta Mimi linanipa shida nilishindwa nasubiri majibu ili na Mimi linisaidie
 
Habari Mkuu Uliyeomba msaada. Hebu tembelea uzi huu hapa chini kupata dondoo fulani kuhusu mambo ya kuandika CV/RESUME, COVER LETTER, etc. Cha kufanya wewe "Just Click the Thread" au kopi na kupasti tu. Utapata maelezo mazuri na zaidi ya hapo utaona e-mail ya mtu ambaye anafanya kazi hizi kwa malipo nafuu sana.

Yaani TZS 5000 (Elfu tano) kwa package moja yenye barua na CV hapo hapo. Kizuri zaidi ni kuwa mtaongea naye kwa simu na kisha atakuuliza taarifa zako muhimu zinazohitajika katika hizo nyaraka zako. Na atakutumia vyote hivyo ili wewe utume kokote utakako.

 
Back
Top Bottom