Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

Laz Auto Car wash inatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenyewe uzoefu wa kazi ya kuosha magari. Waadilifu,wachapakazi,watiifu na wenye uzoefu.
Laz Auto Car wash inapatikani Kinondoni nyuma ya Best Bites ya Namanga.
Piga simu Na. 0717 26 33 77
 
wadua habari ,naombeni msaada ni kampuni zipi ,zinasaidia kupata kazi katika ofisi mbalimbali,yani huwa wanatumiwa na taasisi mbali mbali kuwatafutia wafanyakazi ,mfano kuna dada anafanya kazi MSD ,alipata kazi kupita kampuni fulani inawafanyia usahili mkifaulu mnaajiliwa
Yeye alipata kazi kupitia kampuni gani?
 
Naomba msaada wenu..anyone to help..

Ndani ya miaka miwili nimejaribu kushare CV yangu kwa recruitment agent ambao wametangaza kazi ambazo to my view zipo within my expertise..

Cha Ajabu nothing is taking me to a next step tofauti na miaka kadhaa iloyopita ambapo nilikuwa nikituma on the click napewa priority kubwa..

Nimejiasses huenda my CV is outdated na kamwe siwezi kujisahihisha and am strongly need very helpful second eyes tp look on my CV and if possible anishauri..

I have over 15 experience with diversity so far for these two years o have applied more than 500 hundred job vacancies but nothing good are coming back on my way..

Please msaada currently i have nothing to pay for this but I promise your help will not be left unremembered.

Asanteni.
 
Naomba msaada wenu..anyone to help..

Ndani ya miaka miwili nimejaribu kushare CV yangu kwa recruitment agent ambao wametangaza kazi ambazo to my view zipo within my expertise..

Cha Ajabu nothing is taking me to a next step tofauti na miaka kadhaa iloyopita ambapo nilikuwa nikituma on the click napewa priority kubwa..

Nimejiasses huenda my CV is outdated na kamwe siwezi kujisahihisha and am strongly need very helpful second eyes tp look on my CV and if possible anishauri..

I have over 15 experience with diversity so far for these two years o have applied more than 500 hundred job vacancies but nothing good are coming back on my way..

Please msaada currently i have nothing to pay for this but I promise your help will not be left unremembered.

Asanteni.
Nicheki PM tuone CV yako mkuu, tulinganishe na hizi wengine currently tumetumia kifanya applications kadhaa na zikaonekana.
 
Just sent an email to their address from ajira.go.tz... elezea subject ya email yako na elezea kwa ndani ni cheti gani wakuondoelee.
Unaweza ukatazama picha yangu kuona nilivyo tuma ombi.View attachment 2138154
 
Naomba msaada wenu..anyone to help..

Ndani ya miaka miwili nimejaribu kushare CV yangu kwa recruitment agent ambao wametangaza kazi ambazo to my view zipo within my expertise..

Cha Ajabu nothing is taking me to a next step tofauti na miaka kadhaa iloyopita ambapo nilikuwa nikituma on the click napewa priority kubwa..

Nimejiasses huenda my CV is outdated na kamwe siwezi kujisahihisha and am strongly need very helpful second eyes tp look on my CV and if possible anishauri..

I have over 15 experience with diversity so far for these two years o have applied more than 500 hundred job vacancies but nothing good are coming back on my way..

Please msaada currently i have nothing to pay for this but I promise your help will not be left unremembered.

Asanteni.
kwa harakaharaka tu nshajua tatizo ni nini

una tatizo na english boss

Kama unachapia hivi english apa kweny uzi huko kweny barua itakuaje[emoji23][emoji23][emoji23]

** am strongly need help - WEKA ( i strongly need help )
**nothing good are coming back-- WEKA ( nothing good is coming back.)

muda mwingine tumia maneno mapana kuonyesha how fluent you are in engish
.
mfano- INSTEAD OF (nothing good is coming back ) UNGEANDIKA - ( the resuts were not satisfying) nakadhalika na kadhalika.

Sasa kwa style hii unaomba umeneja wa kampuni itakuaje sasa[emoji23][emoji23][emoji23]

anyway nenda kwa MWAMPOSA KAMA VIPI
 
habarin jamnani, mm nina shida nimepata tangazo la kaz ila sasa nikiingia kuaply portal silioni nimehangaika namba zao za msaada haaapokei mara hazipatika
 
Hello, kama umepata div 3 ya 25 na unataka kujiunga na kozi ya shipping au clearing and forwarding utakubaliwa chuo.
 
Back
Top Bottom