Aaaaah wee Red arrows tunawatoa, labda De Agosto ndo pana mshike mshike, bora tukatoke round ya kwanza, afu tuangukie shirikisho.Katika mpira chochote kinatokea, Simba hatua hii kuna asilimia kubwa 90% tunapenya, ila red arrows na petro d agosto kazi ipo kwa kweli, inabidi tuvuje machozi jasho na damu.
Mkuu.....sisi ( WANANCHI) hatuna stress na hizi hatua....coz tunajua tu kuwa kombe la CAF Ni mali yetuUwaze Zalan Fc huko, kutwa kuiwaza simba,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sie tunawaza ¼ final hapa.
Na mkipigwa nje ndani na team ya Juba huko, itakua hataree sana
Hao wamedandia mtumbwi wa vibwengo bila kujua, ndiomaana wanashangulia😁.Sasa wewe wa Ibenge usipotokea dirishani sijui!
Sio Petro Altetico mkuu.Simba akivuka hiyo hatua tunakutana na petro atletico ya Angola ni balaa huu mwaka! Yanga wamepewa kamserereko ila usishangae asivuke!
Hatoruhusiwa kucheza.Kwa Simba hii tuzungumzie atakayekuja robo fainali. Kumbuka robo Manzoki atakuwa Simba kupitia dirisha dogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msubiri kupigwa nje ndani, muanze kuhangaika na Mbeya City.Mkuu.....sisi ( WANANCHI) hatuna stress na hizi hatua....coz tunajua tu kuwa kombe la CAF Ni mali yetu
Ni timu sio maarufu Sana.....but sio kigezo cha kuidharau .....nadhani kwa michuano ya CAF lazima kupambana mwanzo mwisho bila kuangalia unakutana na Nani
All in all uzoefu wa mashindano utaisaidia Simba ku perform vizuri.....
By.....mwananchi
Mchambuzi wa mchongo[emoji23][emoji23]
Kwa Simba hii tuzungumzie atakayekuja robo fainali. Kumbuka robo Manzoki atakuwa Simba kupitia dirisha dogo
Zallan f.c hawa ni wa kiwango chao.Yanga wanachez na nani?
Unajitoa akili Galaxy waliwafanyaje?Mimi ninachofurahia ni kwamba simba imefika hatua ambayo hatuziwazi tena timu yoyote kwenye hatua hii ya mtoano. Hapo simba naiona hatua za makundi ukiachana na factor zingine Kama uzembe wao n.k
Yanga wanawaza mlima walionao kwa al hilal matajiri hawa lakini Mimi na amini wangepangiwa na simba simba tusingewaza
Afadhari Red Arrows hao wa Angora ni kisangaKatika mpira chochote kinatokea, Simba hatua hii kuna asilimia kubwa 90% tunapenya, ila red arrows na petro d agosto kazi ipo kwa kweli, inabidi tuvuje machozi jasho na damu.
Wewe jamaa hua ni mweupe kichwani alafu hua una jifanya smart umesahau Chama msimu uliopita alipotoka BerkaneKwa Simba hii tuzungumzie atakayekuja robo fainali. Kumbuka robo Manzoki atakuwa Simba kupitia dirisha dogo
Baada ya hapo Simba anakutana na Red Arrows au Premiro De Agosto ,we hiyo Petro atletico sijui unatoa wapiSimba akivuka hiyo hatua tunakutana na petro atletico ya Angola ni balaa huu mwaka! Yanga wamepewa kamserereko ila usishangae asivuke!
Kisanga kivipi, wakati walifungwa na namungoAfadhari Red Arrows hao wa Angora ni kisanga
Petro atletico ni ya wapiSimba akivuka hiyo hatua tunakutana na petro atletico ya Angola ni balaa huu mwaka! Yanga wamepewa kamserereko ila usishangae asivuke!
Hapa mnajipigia tuu bila wasiwasi wowoteHii hapa chini ni rekodi ya timu itayayocheza na simba.
Naomba tujadiliane vizuri kwa taarifa za uhakika. Tuache michambo na matusi yasiyo na tija.View attachment 2319398
Sijawahi wasikia aiseeZallan f.c hawa ni wa kiwango chao.