ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Uliza wenyeji uta ambiwa, Namungo walipenya kwa janja janja jamaa walipigwa Covid ya uongo wakachezesha kikosi dhaifuKisanga kivipi, wakati walifungwa na namungo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza wenyeji uta ambiwa, Namungo walipenya kwa janja janja jamaa walipigwa Covid ya uongo wakachezesha kikosi dhaifuKisanga kivipi, wakati walifungwa na namungo
Kwani unadhani zalan ni vinyesi fc, mtakamuliwa utumbo woteUna timu ya kushindana?? Au unadhani hiyo ni SHIRIKISHO???
Yamekuwa hayo tena???Simba waingie kwa nidhamu ya kumheshimu mpinzani, wasiamini sana katika record za mpinzani wao kufeli kwenye CAF champion
Wakidhani ubovu wao wa miaka ya nyuma utakuwa na muendelezo mpaka saizi.
Yanga wamepata mteremko mno ila nao wasipokaza watakuja kupeana lawama na kutafuta mchawi.
Uzuri mtapata Goli Bora la Champions League! Just Joking!!!Katika mpira chochote kinatokea, Simba hatua hii kuna asilimia kubwa 90% tunapenya, ila red arrows na petro d agosto kazi ipo kwa kweli, inabidi tuvuje machozi jasho na damu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kaka Simba hii ni mbovu bhana, acha kujifariji.Kwa Simba hii tuzungumzie atakayekuja robo fainali. Kumbuka robo Manzoki atakuwa Simba kupitia dirisha dogo
Wewe ndio punguani mkosa akili. Huyo Manzoki ameshacheza CAF? Nina huna unanijibu bila kutumia akili, wewe akili timamu wamenijibu wakiweka akiba,ila wewe zuzu unarukia tu bila kushirikisha akiliWewe jamaa hua ni mweupe kichwani alafu hua una jifanya smart umesahau Chama msimu uliopita alipotoka Berkane
Ona huyu sijui Atletico ameitoa wapi? Mseleleko wa Uto ni upi ikiwa first round ataweza kukutana na Al Hilal ya Ibenge? Nenda kaangalie usajili wakeSimba akivuka hiyo hatua tunakutana na petro atletico ya Angola ni balaa huu mwaka! Yanga wamepewa kamserereko ila usishangae asivuke!
Wasaidia Hawa UTOPOLO hawajui tofauti kati ya Petro de Luanda na Premeira de agostoNi 1° De Agosto siyo Atletico Petroleos
namungo aliwapiga kwa figisu za covid-19.Kisanga kivipi, wakati walifungwa na namungo
Dirisha dogo haitawezekana,kwa sababu akishasajiliwa na Vipers kama mchezaji wao CAF hataruhusiwa tena kucheza simba sc kwenye CAF. Kumbuka habari ya chama msimu uliopitaKwa Simba hii tuzungumzie atakayekuja robo fainali. Kumbuka robo Manzoki atakuwa Simba kupitia dirisha dogo
Sasa hivi unawapamba hao Agosto ila wapigwa na Simba Sc utageuka na kusema kuwa ni vibonde, maana mpaka Al. Ahly mmewahi kuwaita vibonde[emoji23].Uliza wenyeji uta ambiwa, Namungo walipenya kwa janja janja jamaa walipigwa Covid ya uongo wakachezesha kikosi dhaifu