Nyayo za watu wa kale zagunduliwa Tanzania

Nyayo za watu wa kale zagunduliwa Tanzania

Inamaana Mwana Malundi naye alitembea kwenye Volcanic Ash/Lava.
Maana tunaambiwa yeye alitembea juu ya mwamba na akaacha nyayo.

Kwa anayeijua vizuri historia ya huyu mtu aiweke hapa.
 
Historia ikisema watu walitembea juu ya uji wa volcano mnashangaa.
Lakini Bibilia ikisema kina Daniel wali-survive kwenye shimo la moto, mnasema amina.
Haya ndiyo matatizo ya ujinga [Kutokujua]....

Biblia inasema kwamba akina Danieli walitupwa kwenye tundu la Simba na hawakuuawa na simba wale kwasababu kulikuwa na nguvu kuu iliyowalinda,Sasa hebu linganisha na suala la hawa "vioumbe" kutembea kwenye uji wa volcano bila kuungua kama nao walikuwa na usimamizi wa kungu nyingine iliyozuia hilo.....

Unaweza kuamua kupinga jambo kwa sababu zako lakini kutumia akili ni jambo jema zaidi....
 
Haya ndiyo matatizo ya ujinga [Kutokujua]....

Biblia inasema kwamba akina Danieli walitupwa kwenye tundu la Simba na hawakuuawa na simba wale kwasababu kulikuwa na nguvu kuu iliyowalinda,Sasa hebu linganisha na suala la hawa "vioumbe" kutembea kwenye uji wa volcano bila kuungua kama nao walikuwa na usimamizi wa kungu nyingine iliyozuia hilo.....

Unaweza kuamua kupinga jambo kwa sababu zako lakini kutumia akili ni jambo jema zaidi....
Sasa kwenye post yangu kuna tatizo lipi la ujinga?
Je tukisema HAO WATU WA KALE walitembea juu ya volcano kwa nguvu za miujiza itakuwa sawa?
 
Hili la ugunduzi so la ajabu. Kule Singida Wilaya ya Mkalama kijiji cha Nkinto kunanyayo nyingi tu za miguu ya watu wa kale kwenye miamba ya igneous rock, Nyayo kubwa kama Mara mbili ya nyayo zetu.

Lakini wala hapaendelezwi mahali pale.
 
singida vijijini kuna pahali niliwaai ona nyayo za binadamu na kama chui juu ya yale mawe makubwa kabisa,sasa sijui wataalam hawajafika huko maana zinaonekana wazi wazi
 
Sasa kwenye post yangu kuna tatizo lipi la ujinga?
Je tukisema HAO WATU WA KALE walitembea juu ya volcano kwa nguvu za miujiza itakuwa sawa?
Haijaswemwa kuwa walitembea kwasababu ya miujiza na kama itasemwa hivi tutahoji ni nguvu zipi zilisimamia hiyo miujiza lakini point ya msingi ni kuwa hawajasema kwamba walitembea kwa miujiza....
 
Haijaswemwa kuwa walitembea kwasababu ya miujiza na kama itasemwa hivi tutahoji ni nguvu zipi zilisimamia hiyo miujiza lakini point ya msingi ni kuwa hawajasema kwamba walitembea kwa miujiza....
Tukio la hizo nyayo naliamini kuliko lile la kina Daniel kutupwa motoni bila kuungua.

Hilo tukio la nyayo za watu wa kale lina ushahidi na linachunguzika.Je hizo nyayo ni za kina nani?.....Si kweli kwamba iliyokanyagwa ni volcanic material?......lina make sense kuliko la kina Daniel lililo kama hadithi za Abunuasi.
 
Tukio la hizo nyayo naliamini kuliko lile la kina Daniel kutupwa motoni bila kuungua.

Hilo tukio la nyayo za watu wa kale lina ushahidi na linachunguzika.Je hizo nyayo ni za kina nani?.....Si kweli kwamba iliyokanyagwa ni volcanic material?......lina make sense kuliko la kina Daniel lililo kama hadithi za Abunuasi.
Linachunguzikaje au historia nayo inaanza kwenda kwa imani???

Maana kwa akili ya kibaiologia, kikemia na kifizikia mapema kabisa inapishana na hilo jambo.

Ni ujinga kulinganisha hivi vitu wakati umeishaambiwa kimoja kilisimamiwa na imani zaidi.
 
Linachunguzikaje au historia nayo inaanza kwenda kwa imani???

Maana kwa akili ya kibaiologia, kikemia na kifizikia mapema kabisa inapishana na hilo jambo.

Ni ujinga kulinganisha hivi vitu wakati umeishaambiwa kimoja kilisimamiwa na imani zaidi.
Hayo mambo ya kiimani yaliingiaje kwenye physical world?
 
Kwanza mwandishi hajasema "volcano arsh" bali amesema "uji wa volcano",hii inamaana ulikuwa ni wamoto.Ili uweze kutengeneza taswira ya kitu kwenye uji huu unapaswa uwe bado na joto ambalo litaufanya uendelee kuwa kwenye hali yake ya kimiminika na kwa hali hii mguu hauwezi kuhimili joto hili kiasi cha anayekanyaga uji huu uweze kutengeneza taswira ya mguu huo....

Haya mambo mengine unaweza tu kuyastukia mapema....

Fine hata kama ni uji wa moto - moto kiasi gani?
 
Fine hata kama ni uji wa moto - moto kiasi gani?
Kitendo cha jiwe kukubali pressure kwenye uso wake ni kwa mazingira mawili, mosi likiwa katika hali ya uji uji(hapa lazima liwe na moto wa kutosha), lakini pili ni kwa kifaa chenye uzito au ugumu zaidi yake almasi, chuma nk.

Sasa mguu wa jamaa yetu unakataa mazingira yote hayo,hali ya kwanza angeungua tu, na ya pili hauna sifa hizo.

Au jiwe linabaki katika molten state mpaka katika kiwango kipi cha joto ndani yake??? Mimi najua mpaka hata 300c bado halitayayuka.
 
Kitendo cha jiwe kukubali pressure kwenye uso wake ni kwa mazingira mawili, mosi likiwa katika hali ya uji uji(hapa lazima liwe na moto wa kutosha), lakini pili ni kwa kifaa chenye uzito au ugumu zaidi yake almasi, chuma nk.

Sasa mguu wa jamaa yetu unakataa mazingira yote hayo,hali ya kwanza angeungua tu, na ya pili hauna sifa hizo.

Au jiwe linabaki katika molten state mpaka katika kiwango kipi cha joto ndani yake??? Mimi najua mpaka hata 300c bado halitayayuka.

Hiyo mpaka ni maximum au minimum? Kwa kigezo hiki ni sawa lakini sasa hizo alama walizoziona ni za nini na ilikuwaje zibakie pale? Na kama wana-present fake findings fake basi ni kwa benefit ya nani?
 
Back
Top Bottom