Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni minimum,Hiyo mpaka ni maximum au minimum? Kwa kigezo hiki ni sawa lakini sasa hizo alama walizoziona ni za nini na ilikuwaje zibakie pale? Na kama wana-present fake findings fake basi ni kwa benefit ya nani?
Una haki ya kuamini chochote,hili siyo tatizo hata kidogo maana kuna watu wanaamini mlima Kilimanjaro upo Sumbawanga,huwezi kuwakatalia maana wameamua kuamini hivyo....Tukio la hizo nyayo naliamini kuliko lile la kina Daniel kutupwa motoni bila kuungua.
Linachunguzika kivipi? Yaani unachunguza nini? Kama walikanyaga vilcano au unachunguza nini?Hilo tukio la nyayo za watu wa kale lina ushahidi na linachunguzika.
Sijui,lakini kuwepo kwa nyayo kunaweza kuwa na sababu nyingi lakini ya kiumbe hai kukanyaga vilcano siyo sahihi....Je hizo nyayo ni za kina nani?
Wewe inakuingia akilini kuwa iliyokanyagwa ni volcano?.....Si kweli kwamba iliyokanyagwa ni volcanic material?
Huu ni uchaguzi wako kama wale walioachagua kuamini kwamba mlima Kilimanjaro upo Sumbawanga huko,siwezi kukukatalia maana kama unaona binadamu kukanyaga volcano na asiungue ni sahihi na ina make sense lakini Danieli kuweza kutokuumwa na Simba siyo sahihi nitakukataliaje? Hiyo ni akili yako..........lina make sense kuliko la kina Daniel lililo kama hadithi za Abunuasi.
Dah wenzetu wanagundua vitu vya maaana Na kuboresha uchumi wao Sisi tunagundua nyayo
Kazi yq viongozi ubabe tuTanzania tuna vitu vingi sana hii nchi yetu ni ya thamani sana hebu tujitahidi kuitunza
kwani wewe hunywagi chai ya moto kamanda!Hahahahahaaaaa......
Hii zamani walikuwa hawana damu? Au moto ulikuwa wa ki-China?
Wanasayansi wote tulionao hapa ni wanasiasa ni wabunge au mawaziri,kama siyo hivyo basi ni wanasiasa katika vyama mbalimbali,wanafukuzana kusaka utajiri,kusaka tonge,taaluma wametupa kule.Hivi wanAsayansi wetu hawawezi Kugundua kitu mpaka ngozi nyeupe iwepo?
Unajua kuwa joto huwa lina viwango tofauti tofauti?kwani wewe hunywagi chai ya moto kamanda!
Hizo ni nyayo za yesu alipokuwa akipaa na hizo ndogo ni za awnafunzi wakeHaijaswemwa kuwa walitembea kwasababu ya miujiza na kama itasemwa hivi tutahoji ni nguvu zipi zilisimamia hiyo miujiza lakini point ya msingi ni kuwa hawajasema kwamba walitembea kwa miujiza....
uji uliopoa ila kabla haujagandaIna maana hao jamaa walikuwa hawaungui!!!!kukanyaga uji wa mawe???
Historia nayo sometime mh.
Hata mm nashangaa volcano gani unaweza ukakanyaga na usiungueIna maana hao jamaa walikuwa hawaungui!!!!kukanyaga uji wa mawe???
Historia nayo sometime mh.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we noma sana.Dah wenzetu wanagundua vitu vya maaana Na kuboresha uchumi wao Sisi tunagundua nyayo
[emoji1] [emoji1] mkuu uji wa ulezi au wa volcano???uji uliopoa ila kabla haujaganda
[emoji1] [emoji1] mkuu uji wa ulezi au wa volcano???
Jiwe linapigwa joto mpaka 200c haliyeyuki, unadhani mpaka liwe uji linatakiwa joto kiasi gani???
Walitembea juu ya volcano baada ya mvua kunyesha soma vzuri ueleweIna maana hao jamaa walikuwa hawaungui!!!!kukanyaga uji wa mawe???
Historia nayo sometime mh.
Hapo huwezi tia mguu,labda na mguu hautakuwa na kazi tena.