Lissu kashamaiza kazi , ni wakati sasa wa watu kuita maji mma.Lissu kaza hivyohivyo baba,
Miradi ni maendeleo, kama hutaki miradi hamia ughaibuni.Huyu jamaa hata akishindwa uchaguzi hatoki madarakani atalazimisha kuendelea
Atadai miradi alioianzisha ni mingi kwa hiyo atalazimisha kuwa lazima aione ikiisha
Miradi mingine itachukua hadi miaka 20 ijayo sasa Mtanzania piga mahesabu
Tayari Tanzania imempata raisi wa maisha Dikteta wa maisha
Kampeni manager wa CCM kazi imemshinda, ameshindwa kumshauri mgombea wake.Nilikua hapo sikutaka hata kuendelea kusikiliza Mambo ya ajabu kbs. Magufuli anajisahau sana
Watende haki katika hili kama kwa RungweTAKUKURU TAKUKURU TAKUKURU
tupe kifungu sheria namba ngapiKuagiza barabara ifanyike ndani ya kipindi cha kampeni ni RUSHWA. TAKUKURU wako wap jaman
Hiyo ni rushwa kama rushwa nyingine zilivyo!Hata mzee wa ubwabwa aliona tatizo wananchi wana njaa,akaamua kukitatua hapo hapo kwa kuwapa ubwabwa ila akaambiwa hiyo ni rushwa!Siyo rushwa kila wakati Magufuli akiona jambo haliko sawa hana subira,ni mtu wa vitendo bila kuchelewa.
Lakini pammoja na mihemuko ya uchaguzi wa uraisi,Magu the bulldozer hana mshindani bora arudi kwenye majukumu yake hadi 2025.
Hiyo ni rushwa ya uchaguzi!Hakuna neno unaweza kuita jambo la namna hiyo zaidi ya rushwa!Miradi ni maendeleo, kama hutaki miradi hamia ughaibuni.
Lakini jambo la msingi ili kupambana na Magu ilibidi kujipanga kisawasawa kama 2015.
Usione vinaelea vimeundwa,Chadema ya leo siyo ile ya 2015.
Boss wao ndio huyo anatoa rushwa hadharani,halafu utasikia "tumekomesha rushwa"!Shwain kabisa,nchi hii kama tambala bovu!Takukuru wamkamate nani?
Nani Big Boss wa takukuru?, motherfucker!
Action kwenye kampeni achei uzwazwa yule wa wali yeye ikaonekana ni rushwa hii ndio tunaikataa haki haki haki hatukubali haya matope yaendelee kufqnyikaSafi Sana. Huyo ndio JPM, man of action.
Kwenye ilo eneo ni TAKAKURU.Kuagiza barabara ifanyike ndani ya kipindi cha kampeni ni RUSHWA. TAKUKURU wako wap jaman
Sema utatoa rushwa hadharani na wewe ndiye boss wa hao TAKUKURU!Hiyi ndo dhana halisi ya kuwa na vyombo vya dola kama alivyosema Katibu Mkuu wa CCM lakini Chadema wakapotosha kwamba chombo cha dola ni Polisi. Ukiwa kwenye madaraka unakuwa na advantage kubwa ya kushinda uchaguzi maana utatoa maagizo kama haya na sheria inakuruhusu kufanya hivyo
Ameongea kama Rais, hata Trump yuko kwenye kampeni na bado anatoa executive order hiyo ndiyo dunia ya kisasa.chadema toeni sera mbadala za kuonyesha ubora wenu, lakini kama sera zenu anazotoa Lissu za kuvunja Muungano na kudanganya eti karume alilazimishwa ni ujuha ulipitiliza.Mtasubiri sanaHivi Mheshimiwa anajua nini maana ya kampeni za uchaguzi wa Rais? Na pia anatambua nini kinachopaswa kufanyika wakati wa shughuli za kampeni? Na kweli alisoma kwa kina na kuzielewa kanuni na maadili ya wagombea kutokana na tume ya uchaguzi?