Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Alafu tume inaenda kumshambulia mzee wa ubwabwa kuwa ubwabwa ni rushwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhh mkuu mwananchi yeye anataka barabara, hajalishi ni uchaguzi au hapana.Hiyo ni rushwa kama rushwa nyingine zilivyo!Hata mzee wa ubwabwa aliona tatizo wananchi wana njaa,akaamua kukitatua hapo hapo kwa kuwapa ubwabwa ila akaambiwa hiyo ni rushwa!
Kama ameona kuna hitaji la barabara,kwanini asifanye mawasiliano na huyo mfugale ili mkakati ufanyike na kazi ifanyike?Kwanini atumie jukwaa la kampeni?Hiyo ni rushwa,muiname muinuke hiyo ni rushwa!
Hahaha mgombea anajenga barabara wakati wa kampeni?
Which Takukuru are you talking about [emoji1787][emoji1787][emoji1787]TAKUKURU TAKUKURU TAKUKURU
DKT. Magufuli akiwa anaendelea na kampeni za uchaguzi 2020, amepita kijiji cha Nyehunge akiwa anaelekea Geita ambapo kutoka Sengerema mpaka Nyehunge ni kilomita 46. Alisimama kuongea na wananchi waliokuwa wakimsubiri barabarani, wakati anaielezea barabara hiyo ghafla aliomba simu yake na kumpigia mtu ambae baadae alijulikana ni mkurugenzi mkuu wa TANROADS, Injinia Mfugale na mazungumzo yao yalikuwa hivi.
Magufuli: Hallo, Chief executive
Mfugale: Naam mheshimiwa Rais
Magufuli: Hujambo
Mfugale: Sijambo mheshimiwa
Magufuli: Uko wapi?
Mfugale: Niko Dar es Salaam TANESCO tunazungumzia habari ya Nyerere dam.
Magufuli: Haya, sasa mimi niko Nyehunge, kutoka Sengerema mpaka Nyehunge ni kilomita 46, hii barabara tumeshaifanyizia feasibility study na detail design, nimesimama hapa na wananchi, nataka hii barabara, mimi si ndio Rais?
Mfugale: Ndio mheshimiwa(Wananchi kicheko cha furaha)
Magufuli: Nyehunge Oyee, Unanielewa Chief? Basi hii barabara uitangaze kwa ajili ya kuijenga kwa kiwango cha lami. Huu ni mwezi wa ngapi? (Mfugale: Mwezi wa tisa). Haya uandae document zote kabla ya mwezi wa 12 haujafika na kandarasi apatikane, niulize hela nitazitoa wapi. Sawa Mfugale?
Mfugale: Nimekuelewa mheshimiwa Rais
Magufuli: Umenielewa, mueleze na Waziri kwamba hayo ni maagizo yangu wala yasibadilike, Asante sana.
MWISHO WA MAONGEZI
Yaani kwenye nchi ya demokrasia ya kweli, alipomaliza tu mazungumzo haya tume ya uchaguzi ingetangaza kumwengua huyu mgombea. Kama kutumia tu gari la serikali kwenye shughuli ya siasa ni marufuku sembuse kutumia haya madaraka. Eti, mimi ni Rais. Sasa kama ni Rais anapiga kampeni za nini?DKT. Magufuli akiwa anaendelea na kampeni za uchaguzi 2020, amepita kijiji cha Nyehunge akiwa anaelekea Geita ambapo kutoka Sengerema mpaka Nyehunge ni kilomita 46. Alisimama kuongea na wananchi waliokuwa wakimsubiri barabarani, wakati anaielezea barabara hiyo ghafla aliomba simu yake na kumpigia mtu ambae baadae alijulikana ni mkurugenzi mkuu wa TANROADS, Injinia Mfugale na mazungumzo yao yalikuwa hivi.
Magufuli: Hallo, Chief executive
Mfugale: Naam mheshimiwa Rais
Magufuli: Hujambo
Mfugale: Sijambo mheshimiwa
Magufuli: Uko wapi?
Mfugale: Niko Dar es Salaam TANESCO tunazungumzia habari ya Nyerere dam.
Magufuli: Haya, sasa mimi niko Nyehunge, kutoka Sengerema mpaka Nyehunge ni kilomita 46, hii barabara tumeshaifanyizia feasibility study na detail design, nimesimama hapa na wananchi, nataka hii barabara, mimi si ndio Rais?
Mfugale: Ndio mheshimiwa(Wananchi kicheko cha furaha)
Magufuli: Nyehunge Oyee, Unanielewa Chief? Basi hii barabara uitangaze kwa ajili ya kuijenga kwa kiwango cha lami. Huu ni mwezi wa ngapi? (Mfugale: Mwezi wa tisa). Haya uandae document zote kabla ya mwezi wa 12 haujafika na kandarasi apatikane, niulize hela nitazitoa wapi. Sawa Mfugale?
Mfugale: Nimekuelewa mheshimiwa Rais
Magufuli: Umenielewa, mueleze na Waziri kwamba hayo ni maagizo yangu wala yasibadilike, Asante sana.
MWISHO WA MAONGEZI
"Nikununulie gari, nikulipe mshahara, nikupe nyumba halafu eti unamtangaza mpinzani kashinda! Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii" (Magu, 2019)Huyu jamaa swala la aibu kwenye kutokufata sheria. Ninawaza sana wakurugezi watakaotangaza kura kuwa ameshindwa kwenye majimbo yao.
Nae alikuwa mnafiki tu,kama aliona kuna shida kwenye katiba kwanini hakubadili kabda hajatoka madarakaniAmeanza kutoa rushwa za Barabara?
Jk Nyerere alisema "Tuogope kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamkaje au atashauriwa nini na mkewe"
Aliyaona haya ya kuwa na Rais kikurupushi.
Wapo mfukoni, wanalinda pochi zao!!TAKUKURU TAKUKURU TAKUKURU
Haya Dkt Bashiru, mshukie na huyu pia! anachafua weledi wa chamaHiyo ni rushwa ya uchaguzi.
Haikubaliki.