T Tigershark JF-Expert Member Joined Oct 9, 2018 Posts 7,051 Reaction score 12,566 Sep 9, 2020 #161 sblandes said: Una uhakika gani wakati kura huzihesabu,kazi yako ni kupiga kura na kuondoka? Click to expand... Ndio maana kila chama kinaweka mawakala na ni haki yao kisheria kupewa nakala ya majumuisho ambayo wao ni mashahidi!Tunataka uwazi wa kuhesabu kura kama kura za maoni CCM!
sblandes said: Una uhakika gani wakati kura huzihesabu,kazi yako ni kupiga kura na kuondoka? Click to expand... Ndio maana kila chama kinaweka mawakala na ni haki yao kisheria kupewa nakala ya majumuisho ambayo wao ni mashahidi!Tunataka uwazi wa kuhesabu kura kama kura za maoni CCM!
P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 18,406 Reaction score 14,643 Sep 9, 2020 #162 Kha! haya yanapatikana Tz, tu. Hivi NEC ilitoa mwongozo kwa wagombea kweli? this is purely ze 'takrima'.
Kha! haya yanapatikana Tz, tu. Hivi NEC ilitoa mwongozo kwa wagombea kweli? this is purely ze 'takrima'.
Mchochezi JF-Expert Member Joined Feb 29, 2012 Posts 10,962 Reaction score 7,830 Jun 29, 2021 #163 Waterloo said: Nchi inaendeshwa kama kuku aliyekatwa shingo. Click to expand... Hahaha