Nyendo za Rais Samia zinafanana na za Lissu

Nyendo za Rais Samia zinafanana na za Lissu

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mbiu ya kampeni ya kugombea urais ya Lissu ilikuwa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.

Pia aliahidi akipata urais atawaachia mashekhe wa uamsho ndani ya siku 100 za uongozi wake.

HAKI
Mama amesisitiza anataka haki kila mahala kuanzia kwenye kodi mpk kwenye vyombo vya utoaji haki. Hataki dhulma.

UHURU
Mama amesisitiza watu wawe huru kufanya siasa, kukosoa na hata vyombo vya habari.

MAENDELEO YA WATU
Akisoma hotuba ya bajeti waziri wa fedha ameyarudia maneno haya mara chungu nzima wakati anatoa utangulizi na wakati akisisitiza baadhi ya maeneo ya hotuba. Anasema bajeti hii imelenga kuleta "maendeleo ya watu"

MASHEKHE WA UAMSHO.
Sote tumeona ndani ya siku 100 za uongozi wa mama SSH mashekhe wameachiwa huru bila masharti tena kwa heshima zote.

Nyendo za rais SSH ni sawa na za Lisu (na siyo yule....)
 
17 Feb 2020
Samia Suluhu : "Napenda mawazo ya wapinzani, huwa wanajenga hoja vizuri, walini 'inspire' niingie siasa"

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefunguka kuhusiana na historia ya maisha yake ambapo ameeleza siri ya mafanikio na chanzo kilichomvutia kuingia kwenye siasa. Samia Suluhu anaona hoja za upinzani ni moto, zimejaa mantiki kuliko za mawaziri wa serikali ya CCM , hivyo walinivutia / inspire, mimi ni activist ... kuingia siasani baada ya kuona majibu na hoja za upande wetu (CCM) hazina uhalisia na hazijibu maswali ya wananchi ....

 
Mbiu ya kampeni ya kugombea urais ya Lisu ilikuwa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.

Pia aliahidi akipata urais atawaachia mashekhe wa uamsho ndani ya siku 100 za uongozi wake.

HAKI
Mama amesisitiza anataka haki kila mahara kuanzia kwenye kodi mpk kwenye vyombo vya utoaji haki. Hataki dhulma.

UHURU
Mama amesisitiza watu wawe huru kufanya siasa, kukosoa na hata vyombo vya habari.

MAENDELEO YA WATU
Akisoma hotuba ya bajeti waziri wa fedha ameyarudia maneno haya mara chungu nzima wakati anatoa utangulizi na wakati akisisitiza bqqdhi ya maeneo ya hotuba. Anasema bajeti hii imelenga kuleta "maendeleo ya watu"

MASHEKHE WA UAMSHO.
Sote tumeona ndani ya siku 100 za uongozi wa mama SSH mashekhe wameachiwa bila masharti tena kwa heshima zote

Nyendo za rais SSH ni sawa na za Lisu (na siyo yule..........)
Same same. In fact yeyote anayefata katiba na kutensa haki atenda yaoote yaliyidhamiriwa na Lissu
 
Mbiu ya kampeni ya kugombea urais ya Lisu ilikuwa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.

Pia aliahidi akipata urais atawaachia mashekhe wa uamsho ndani ya siku 100 za uongozi wake.

HAKI
Mama amesisitiza anataka haki kila mahara kuanzia kwenye kodi mpk kwenye vyombo vya utoaji haki. Hataki dhulma.

UHURU
Mama amesisitiza watu wawe huru kufanya siasa, kukosoa na hata vyombo vya habari.

MAENDELEO YA WATU
Akisoma hotuba ya bajeti waziri wa fedha ameyarudia maneno haya mara chungu nzima wakati anatoa utangulizi na wakati akisisitiza bqqdhi ya maeneo ya hotuba. Anasema bajeti hii imelenga kuleta "maendeleo ya watu"

MASHEKHE WA UAMSHO.
Sote tumeona ndani ya siku 100 za uongozi wa mama SSH mashekhe wameachiwa bila masharti tena kwa heshima zote

Nyendo za rais SSH ni sawa na za Lisu (na siyo yule..........)
HAMNA LOLOTE NYIE. SI ATA KIPINDI KILICHOPITA MLIBWABWAJA ETI RAISI ANATEKEREZA IRANI YENU? EBU MWACHENI MAMA ACHAPE KAZI.
 
[emoji23][emoji23]nyie tumeshawazoea.

hata mwendazake mlisema anatekeleza mliyokuwa mkiyasema kwenye kampeni.
 
Mama Samia akitaka kuleta maendeleo na haki atakuwa adui mkubwa wa CCM.

KIKWETE alijaribu kuleta KATIBA mpya CCM walimkalisha chini akabadili gia angani.

CCM= Chama Cha Mashetani.
 
Mbiu ya kampeni ya kugombea urais ya Lissu ilikuwa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.

Pia aliahidi akipata urais atawaachia mashekhe wa uamsho ndani ya siku 100 za uongozi wake.

HAKI
Mama amesisitiza anataka haki kila mahara kuanzia kwenye kodi mpk kwenye vyombo vya utoaji haki. Hataki dhulma.

UHURU
Mama amesisitiza watu wawe huru kufanya siasa, kukosoa na hata vyombo vya habari.

MAENDELEO YA WATU
Akisoma hotuba ya bajeti waziri wa fedha ameyarudia maneno haya mara chungu nzima wakati anatoa utangulizi na wakati akisisitiza bqqdhi ya maeneo ya hotuba. Anasema bajeti hii imelenga kuleta "maendeleo ya watu"

MASHEKHE WA UAMSHO.
Sote tumeona ndani ya siku 100 za uongozi wa mama SSH mashekhe wameachiwa bila masharti tena kwa heshima zote.

Nyendo za rais SSH ni sawa na za Lisu (na siyo yule)
Kuna watu watanuna na kukutukana
 
Ni ukweli, hata vyombo vya habari vimeanza kuwahoji wanasiasa wa upinzani Sasa kwenye vipindi vyao, kipindi Cha jpm ilikuwa ukiwahoji tu wapinzani kwenye vipindi vyako, jiandae kufungiwa
 
hivi ni kwa nini watu wanaharibu hii lugha yetu ya kiswahili namna hii? Hivi kweli BAKITA wapo?.. idara ya kiswahili chuo kikuu bado ipo? au hizi taasisi zina vilaza pia? au waanaoharibu hiki kiswahili walikimbia umande? kwa kweli nina maswali mengi sana najiuliza... hawa walimu wa kiswahili kuanzia shule ya msingi mpaka vyuoni bado wapo? au nao ni vilaza wa kiswahili? Kuna haja ya kuwa na mjadala wa kitaifa kwa ajili ya mustakabali wa hii lugha ambayo tuna itangaza iwe lugha ya Africa halafu walimu watoke sijui Japan, German, South Africa---- This is bullcrap.
" rakini, hamna rorote, anatekereza, kaliakoo, etc" RRRRRRRR=LLLLLLLLL??????????
 
Back
Top Bottom