mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
ndio kwanza miezi 3.kuuana na kutekana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio kwanza miezi 3.kuuana na kutekana?
huwezi kumlinganisha huyu mama na hiyo takataka uzi huu ni wa hovyo katika nyuzi zote za mwaka huuMbiu ya kampeni ya kugombea urais ya Lissu ilikuwa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.
Pia aliahidi akipata urais atawaachia mashekhe wa uamsho ndani ya siku 100 za uongozi wake.
Uchaguzi 2020 - Lissu: Nikichaguliwa, ndani ya siku 100 za kwanza masheikh wa Uamsho wataachiwa huru
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila. Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote...www.jamiiforums.com
HAKI
Mama amesisitiza anataka haki kila mahara kuanzia kwenye kodi mpk kwenye vyombo vya utoaji haki. Hataki dhulma.
UHURU
Mama amesisitiza watu wawe huru kufanya siasa, kukosoa na hata vyombo vya habari.
MAENDELEO YA WATU
Akisoma hotuba ya bajeti waziri wa fedha ameyarudia maneno haya mara chungu nzima wakati anatoa utangulizi na wakati akisisitiza bqqdhi ya maeneo ya hotuba. Anasema bajeti hii imelenga kuleta "maendeleo ya watu"
MASHEKHE WA UAMSHO.
Sote tumeona ndani ya siku 100 za uongozi wa mama SSH mashekhe wameachiwa bila masharti tena kwa heshima zote.
Nyendo za rais SSH ni sawa na za Lisu (na siyo yule)
hiyo hiyo mwenzenu Jiwe tulimwita jina Dikiteta Uchwara wiki mbili tu baada ya kuapishwa 2015. Alishindwa kufanya kwa miaka mitano, amezidiwa na aliyekaa miezi mitatundio kwanza miezi 3.
Ukiendekeza hayo utaishia kuwa mshirikina!Wote wapo kwenye kundi la nyota ya ndoo lissu kazaliwa 20 january
Samia kazaliwa 27 january watu hawa ndo mana wanakuwa na mawazo yanafanana
Magufuli alikuwa na nyota ya ng'e hivyo haendani na kundi la nyota ya ndoo
CrapMsimfananishe rais wetu na kibaraka.
moja hana uchungu na mali za Watanzania mlamba viatu vya wazungu.si ndiye alisema tuyaache makinikia?
Si yeye huyu anayezunguka huko na huko kutaka nchi yake iwekewe vikwazo? Utafikiri bibi yake na mama yake wanaishi Ubelgiji,rais anafanya hivyo?
Huyu ni mbinafsi anajiona wa maana sana kuliko watanzania 60m,kila siku niambieni aliyenipiga risasi na nihakikishiwe usalama.kwani watanzania wangapi waliwahi teswa na hawana makelele kama wewe, nani asiyejua Dr.Ulimboka alivyong'olewa meno na kucha enzi za Kikwete,na yuko kimia.Je mama ni mbinafsi kama huyu?
Si lissu huyu hata wakati hajavuliwa ubunge alionekana akiomba michango kwa wanafunzi wanaosoma nje wamsaidie watoto wake wasifukuzwe shule, yaani mwanasheria maarufu nchini,na Mbunge kwa miaka kadhaa,na matibabu yake yaligharamiwa na Ujerumani anawaomba pesa watoto ambao hawana hata kazi?
Kamwe asifananishwe mama na huyu mtumwa wa mabeberu.
Uchungu hutokea kwa wajawazito wanapojifunguammoja hana uchungu
CDM hoyeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!Mbiu ya kampeni ya kugombea urais ya Lissu ilikuwa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.
Pia aliahidi akipata urais atawaachia mashekhe wa uamsho ndani ya siku 100 za uongozi wake.
Uchaguzi 2020 - Lissu: Nikichaguliwa, ndani ya siku 100 za kwanza masheikh wa Uamsho wataachiwa huru
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila. Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote...www.jamiiforums.com
HAKI
Mama amesisitiza anataka haki kila mahala kuanzia kwenye kodi mpk kwenye vyombo vya utoaji haki. Hataki dhulma.
UHURU
Mama amesisitiza watu wawe huru kufanya siasa, kukosoa na hata vyombo vya habari.
MAENDELEO YA WATU
Akisoma hotuba ya bajeti waziri wa fedha ameyarudia maneno haya mara chungu nzima wakati anatoa utangulizi na wakati akisisitiza baadhi ya maeneo ya hotuba. Anasema bajeti hii imelenga kuleta "maendeleo ya watu"
MASHEKHE WA UAMSHO.
Sote tumeona ndani ya siku 100 za uongozi wa mama SSH mashekhe wameachiwa huru bila masharti tena kwa heshima zote.
Nyendo za rais SSH ni sawa na za Lisu (na siyo yule....)
Aliyemtesa,kumuumiza na kutaka kumuuadr. Ulimboka ni Ramadhan ighondu! Huyu bwana ni mtumishi wa TISS.Mbiu ya kampeni ya kugombea urais ya Lissu ilikuwa Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.
Pia aliahidi akipata urais atawaachia mashekhe wa uamsho ndani ya siku 100 za uongozi wake.
Uchaguzi 2020 - Lissu: Nikichaguliwa, ndani ya siku 100 za kwanza masheikh wa Uamsho wataachiwa huru
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila. Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za kwanza atakapo ingia madarakani ataawachia mashekhe wa Uamsho kwani kesi yao haina msingi wowote...www.jamiiforums.com
HAKI
Mama amesisitiza anataka haki kila mahala kuanzia kwenye kodi mpk kwenye vyombo vya utoaji haki. Hataki dhulma.
UHURU
Mama amesisitiza watu wawe huru kufanya siasa, kukosoa na hata vyombo vya habari.
MAENDELEO YA WATU
Akisoma hotuba ya bajeti waziri wa fedha ameyarudia maneno haya mara chungu nzima wakati anatoa utangulizi na wakati akisisitiza baadhi ya maeneo ya hotuba. Anasema bajeti hii imelenga kuleta "maendeleo ya watu"
MASHEKHE WA UAMSHO.
Sote tumeona ndani ya siku 100 za uongozi wa mama SSH mashekhe wameachiwa huru bila masharti tena kwa heshima zote.
Nyendo za rais SSH ni sawa na za Lisu (na siyo yule....)