Watu wa pwani gani?Watu wa pwani ni wapenda haki na uhuru, wakati waislam wanapambania uhuru wengi wa wakatoliki walikuwa wamejificha huko vichochoroni kwa woga na uzwazwa.
Mifano uko hai tawala za Mwinyi, JK na sasa Mama Samia zinajitanabaisha kuwa za angalay kuwa na uhuru na amani tofauti na wengine
Waislamu ni Sawa na Waisrael a.k.a wasabato tuu , yaan dini za mashariki ya Kati , zinavurugwa Tu na western countries Ila ni watu wenye utu Sana tuseme Tu ukweli , majitu mengine Yana roho mbaya SanaWatu wa pwani ni wapenda haki na uhuru, wakati waislam wanapambania uhuru wengi wa wakatoliki walikuwa wamejificha huko vichochoroni kwa woga na uzwazwa.
Mifano uko hai tawala za Mwinyi, JK na sasa Mama Samia zinajitanabaisha kuwa za angalay kuwa na uhuru na amani tofauti na wengine
Uko sahihi.Waislamu ni Sawa na Waisrael a.k.a wasabato tuu , yaan dini za mashariki ya Kati , zinavurugwa Tu na western countries Ila ni watu wenye utu Sana tuseme Tu ukweli , majitu mengine Yana roho mbaya Sana
Kufa anataka kuishi anataka😅😅harafu mwingine kilasiku anaulizi wote wasilaha nawatu kila akihutubia anataja kifo watanzania Nikifa mtanikumbuka ,nikifa Mimi mtanikumbuka ,malaika nitaishi nao
Mbona umetaja kinyume chake. Utaisikia we ni msaliti, unaenda ulaya kutafuta uhuru UN vijana wa ccm wasio na mbele wala nyuma ungewasikia wakimwambia Nyerere ni Shoga anaenda ulayaHapo Nyerere ana miaka 33 tu. Sasa leo hii nitafutie vijana wenye miaka 33 au zaidi miongoni mwa watu wetu kwenye siasa. Kwenye inshu kama hizi za kupambana na ukoloni mamboleo utawasikia "tutashtakiwa MIGA".
Kwani hapo Nyerere yupo Ulaya, au kazungukwa na wazungu?Mbona umetaja kinyume chake. Utaisikia we ni msaliti, unaenda ulaya kutafuta uhuru UN vijana wa ccm wasio na mbele wala nyuma ungewasikia wakimwambia Nyerere ni Shoga anaenda ulaya
Mrangi,
Mo...watu wa pwani gani ??
hao ndio mdebwedo
hawajapigana hata vita moja wao maneno mengi tu