Nyerere akiwa na John Rupia na Suleiman Takadiri, picha ya enzi za kupigania uhuru

Nyerere akiwa na John Rupia na Suleiman Takadiri, picha ya enzi za kupigania uhuru

Ila nyerere hakupendelea imani fulani
Ukiongea na wazee waliyoshika wadhifa
Wakati wa utawala,wanakuambia licha ya
Wao kutokuwa na elimu lkn aliwachomeka
Kwenye nafasi kubwa mfano u rc etc
Kumbuka mzee songambele alikuwa dereva tena anaendesha magari ya igp enzi hzo aziz
Lakini alikuja kuwapa vyeo

Ova
Mrangi,
Msome Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002) utapanua uelewa wako.
 
Kwani hapo Nyerere yupo Ulaya, au kazungukwa na wazungu?
kwani hao ndio waliompa uhuru ?
Mo...
Umepata kusoma historia ya Bi. Khadija Mkomanile au Abdulrauf Songea Mbano?

Hawa ni watu wa pwani na walinyongwa na Wajerumani kwa kushiriki katika Vita Vya Majimaji 1905 - 1907.
hebu uwe na aibu
hao walikuwa kenge kwenye msafara wa mamba
hivi unajua abushiri aliwauza waafrika wenzie kwa waarabu
vivo hivyo kwa bwana heri huku wakipewa bangili na sahani
hapa unataka kutuambia nini ?
watu wa pwani ni waoga sana ndio maana vita fupi duniani ilipiganwa zanzibar
vita zilikuwa bara huko wajerumani walipata tabu sana
 
Ila nyerere hakupendelea imani fulani
Ukiongea na wazee waliyoshika wadhifa
Wakati wa utawala,wanakuambia licha ya
Wao kutokuwa na elimu lkn aliwachomeka
Kwenye nafasi kubwa mfano u rc etc
Kumbuka mzee songambele alikuwa dereva tena anaendesha magari ya igp enzi hzo aziz
Lakini alikuja kuwapa vyeo

Ova
Mzee songambele alikuwa mtu kweli kweli, mwaka 2010 alimchachafya Mzee Makamba katika kikao wakati Makamba ni Katibu Mkuu mpaka akatyata. Alikuwa CCM damu
 
Watu wa pwani gani?
Hao ndio mdebwedo
Hawajapigana hata vita moja wao maneno mengi tu
images (1).jpg

Labda Unamjuwahuyu Chif Abushiri wa Pangani -Tanga .Aliwapa kichapo Wagerumani, lakini Waswahili baadae walimsaliti na kushirikiana na Wajerumani ,na kupelekea kukamatwa kwake na Kunyongwa.( Huyu alikuwa na Asili ya Zanzibar, Kikwajuni) Ni jemadari mmahiri aliyewasaidia Waafrika wa Tanganyika kupambana dhidiya Mjerumani.
 
Natafakari kwanza!

Hapo mgalatia ni Kambarage peke yake.
Mkuu The Boss aliwahi kulisema hili lakini akaambiwa analeta udini na chuki dhidi ya Utatoliki,
Mwisho wa siku tukubali, tukatae kuna sehemu historia ya Tanganyika imepotoshwa,
Kwenye hizi harakati waislamu na wakristo wote walikuwepo,.........
Ila leo anaonekana mmoja tu.....

THE TRUTH SHALL SET YOU FREE...
 
kwani hao ndio waliompa uhuru ?
hebu uwe na aibu
hao walikuwa kenge kwenye msafara wa mamba
hivi unajua abushiri aliwauza waafrika wenzie kwa waarabu
vivo hivyo kwa bwana heri huku wakipewa bangili na sahani
hapa unataka kutuambia nini ?
watu wa pwani ni waoga sana ndio maana vita fupi duniani ilipiganwa zanzibar
vita zilikuwa bara huko wajerumani walipata tabu sana
Masikini, chuki inakusumbua sana.
Wakati wa mjerumani, Mwarabu na Mwafrika walipigana upande mmoja kuitetea Nchi.
Mjerumani aliwakuta waafrika na waarabu wakiishi na kufanya harakati za maisha kwa pamoja.
Mjerumani naye alitafuta Waafrika Vibaraka na kuunda jeshi dhidi ya Wazalendo.

Mjerumani ndiye Aliye Muuwa Bushiri na ndiye aliye Muuwa Chifu Songea ,na Mkwawa.
Ongeza uoni wako wa Kihistoria Bw/Bi MOII. Sisi ni watanzania ,Waislamu ,Wakiristo, Waafrika,Machotara wa kiarabu, kihindi n.k

Tembelea website hii:-Uone unafiki wa Baadhi ya Waafrika.walivyotumika kuwaua Wafrika wenzao.

 
Unaweza kumuita the real and bravely commanding officer. Kuunganisha makabila Zaid ya 200 na mpak leo transition ya uongozi inafanyika Kwa Amani sio kitu kidogo.
Kwani kabla ya Yeye kulikuwa na ugomvi wa makabila ?
 
Kama harakati za kupigania uhuru pamoja na mikakati mingi kufanyika Dar Es Salaam amabako asilimia kubwa ya wakazi wake ni waislaam kwa kipindi hicho kwa nini wasionekane sana front page ya kila picha ya wapigania uhuru kuliko wakristo na hata wapagani?
 
kwani hao ndio waliompa uhuru ?
hebu uwe na aibu
hao walikuwa kenge kwenye msafara wa mamba
hivi unajua abushiri aliwauza waafrika wenzie kwa waarabu
vivo hivyo kwa bwana heri huku wakipewa bangili na sahani
hapa unataka kutuambia nini ?
watu wa pwani ni waoga sana ndio maana vita fupi duniani ilipiganwa zanzibar
vita zilikuwa bara huko wajerumani walipata tabu sana
Mo...
Tunaweza tukafanya mjadala mzuri muhimu ni kuchungiana adabu.

Nina mengi sana katika historia ya Tanganyika na mimi naamini nitaweza kujifunza kitu kutoka kwako.
 
Huwa nakaa na kuwaza na kuona kwamba kizazi hiki kilikuwa na akili na misimamo dhabiti kuliko hiki cha sasa - leo mnapanga hivi kesho jamaa kashawageuka kisa tumbo...tena mbaya zaidi hadi wazee sasa hivi ndiyo hawaaminiki kabisa - kuna tatizo tena kubwa.

Kama mwalimu na hawa wazee wangeyaheshimu matumbo yao sidhani kama hata huo uhuru ungepatika 1961... Mwalimu angekusanya michango akapata nauli kwenda UNO afu angezamia huko huko akaomba kazi vyuo vikuu akaanza kufundisha.
 
Kama harakati za kupigania uhuru pamoja na mikakati mingi kufanyika Dar Es Salaam amabako asilimia kubwa ya wakazi wake ni waislaam kwa kipindi hicho kwa nini wasionekane sana front page ya kila picha ya wapigania uhuru kuliko wakristo na hata wapagani?
Mimi ni Mkristo lakini kuna muda naona hawa ndugu zetu huwa wana hofu ya Mungu kuliko sisi..

Ni kweli miaka hiyo movements zote lizifanywa na waislamu - kumbuka Waarabu walipitia kanda za pwani (Mzizima, Tanga, Kilwa, Mtwara) na kutangaza uislam - so expect wanja wanja wengi wakati huo walikuwa waislam...
 
Mkuu The Boss aliwahi kulisema hili lakini akaambiwa analeta udini na chuki dhidi ya Utatoliki,
Mwisho wa siku tukubali, tukatae kuna sehemu historia ya Tanganyika imepotoshwa,
Kwenye hizi harakati waislamu na wakristo wote walikuwepo,.........
Ila leo anaonekana mmoja tu.....

THE TRUTH SHALL SET YOU FREE...


Hatujiulizi historia ya kanisa katoliki before 1961 ikoje??Mbona kama hakuna kabisa?
Wala hakuna historia ya kanisa kupigania uhuru licha ya kuwepo kama taasisi decades kadhaa kabla ya Uhuru..

Something very fishy
 
View attachment 1775483
Namuona Mwl akiwa mtu wa kawaida kabisa

Huku Shk Suleima Takadiri na weziwe (SHEIKH SULEIMAN TAKADIR, JOHN RUPIA AND NYERERE 1955) wakionesha kuwa na lengo moja tuu.

Kuikomboa Tanganyika.
Lakini Huku nyuma kuna mabodi Gurd wa kijadi,

Wanachekesha kidogo. mtu kabeba Shoka begani , Mkuki, Panga na Kisururu kiunoni. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 najiuliza atavitumiaje hivi kwa wakati mmoja?

Wakati huo wagombea Uhuru wengi wao walikuwa Waislamu wa Pwani na Masheikh.

Je, kuna kitu cha kujifunza katika picha hii ya zamani?
Asante. Hii picha inaonyesha jinsi nchi yetu ilivyosukwa toka awali. Haikuwa na matabaka wala upendeleo. Kuna makosa yamefanyika hapa na pale. Ndio ubinadamu. Tusianze kushupalia makosa hayo au kujaribu kutafuta nani zaidi ndani ya Tanzania. hatutafanikiwa. Sababu hatuko hivyo.
Tusipojifunza mapema, tutaendelea kuishi kwa unyonge na kufa bila matumaini.
 
Mo...
Umepata kusoma historia ya Bi. Khadija Mkomanile au Abdulrauf Songea Mbano?

Hawa ni watu wa pwani na walinyongwa na Wajerumani kwa kushiriki katika Vita Vya Majimaji 1905 - 1907.
Same story. Same results. Ni hivi, wa mbili havai moja. Tuachieni Tanzania njema isiyo na upendeleo wala matabaka. Haya mambo ya kufikiri nani zaidi, hayaijengi Tanzania. Makosa yaliyofanyika sisi mbona tunataka kuyarudia na kupitiliza badala ya kurekebisha?
Ila Mwenyezi Mungu ni fundi. Kila tukipanga upuuzi wetu, yeye anapangua. kama hatujajifunza hilo, tujiandae kuzikwa na masikitiko.
 
Watu wa pwani gani?
Hao ndio mdebwedo
Hawajapigana hata vita moja wao maneno mengi tu
-vita kubwa kabisa kupiganwa kabla ya uhuru ni pwani na kusini, Vita ya maji maji, ambayo ilijumuisha Dar, pwani, Lindi, mtwara, ruvuma, iringa, moro etc. Ramani ya majimaji
Maji_Maji_rebellion_-_de.png


-kuna wahenga wengi sana ukanda wa pwani, kwetu huku kulikuwa na Kimweri, osale otango, mbega, abushiri etc. Wote walipigana na wajerumani.
 
View attachment 1775483
Namuona Mwl akiwa mtu wa kawaida kabisa

Huku Shk Suleima Takadiri na weziwe (SHEIKH SULEIMAN TAKADIR, JOHN RUPIA AND NYERERE 1955) wakionesha kuwa na lengo moja tuu.

Kuikomboa Tanganyika.
Lakini Huku nyuma kuna mabodi Gurd wa kijadi,

Wanachekesha kidogo. mtu kabeba Shoka begani , Mkuki, Panga na Kisururu kiunoni. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 najiuliza atavitumiaje hivi kwa wakati mmoja?

Wakati huo wagombea Uhuru wengi wao walikuwa Waislamu wa Pwani na Masheikh.

Je, kuna kitu cha kujifunza katika picha hii ya zamani?
Ahsante sana ndugu kwa kuweka taarifa sawasawa.Pana watu kutokana na wingi na ujuha wao wanaamini wao ndiyo wakombozi wa Tanganyika na hutumia kila mbinu iwe hivyo.
Dini (hasa ukristo) huwa hazifundishi kujitambua,kudai haki hata kwa upanga ikibidi na waumin kutokuwa wanafiki.Uislam unayapa nguvu sana haya yasiyopewa nguvu.Ndiyo maana chimbuko la kuwakataa wakoloni halikuwa kanda ya ziwa,wala Magharibi bali kaskazini mashariki na kusini.
Mwenyezi Mungu Mkuu kuliko vyote!
 
View attachment 1775483
Namuona Mwl akiwa mtu wa kawaida kabisa

Huku Shk Suleima Takadiri na weziwe (SHEIKH SULEIMAN TAKADIR, JOHN RUPIA AND NYERERE 1955) wakionesha kuwa na lengo moja tuu.

Kuikomboa Tanganyika.
Lakini Huku nyuma kuna mabodi Gurd wa kijadi,

Wanachekesha kidogo. mtu kabeba Shoka begani , Mkuki, Panga na Kisururu kiunoni. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] najiuliza atavitumiaje hivi kwa wakati mmoja?

Wakati huo wagombea Uhuru wengi wao walikuwa Waislamu wa Pwani na Masheikh.

Je, kuna kitu cha kujifunza katika picha hii ya zamani?
Kuna wakati huwa via fly hivyo pale unapokuwa mbali...
 
Hatujiulizi historia ya kanisa katoliki before 1961 ikoje??Mbona kama hakuna kabisa?
Wala hakuna historia ya kanisa kupigania uhuru licha ya kuwepo kama taasisi decades kadhaa kabla ya Uhuru.
Something very fishy
The Boss,
Baada ya uhuru yalijitokeza mambo ambayo hakuna aliyeyategemea kutokea.
Nitaeleza yaliyotokea Kigoma.

Mwaka wa 1963 katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Kigoma katika kitendo ambacho kanisa halikupata kufanya, Kanisa liliteua wagombea wake wenyewe wapambane wa wagombea Waislam walioteuliwa na TANU kugombea nafasi katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kanisa lilisema limeweka wagombea wake binafsi kwa kuwa wana elimu kupita wagombea wa TANU Waislam.

Kwa hakika huu ulikuwa ndiyo ukweli wenyewe kuwa wagombea Waislam hawakuwa na elimu kuweza kupambana na wagombea walioletwa na Kanisa.

Kanisa na serikali ya kikoloni ilikuwa imehodhi elimu na ikitoa elimu ile kwa namna ya kibaguzi sana na Waislam wakanyimwa fursa ya kupata elimu.

Hii ndiyo ikawa chachu iliyowafanya Waislam wawe mstari wa mbele kupambana na ukoloni ili kuondoa ubaguzi na kuleta usawa katika jamii.

Waislam wa Kigoma walilalamika kuwa Kanisa lilikuwa, ''linachanganya dini na siasa,'' lakini hakuna lililofanyika dhidi ya Kanisa.

Huu ulikuwa mwanzo wa mengi ambayo yalikuja kujitokeza na kusababisha tatizo ambalo hadi leo halijaweza kutafutiwa ufumbuzi.
 
Back
Top Bottom