TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Nimevutiwa na picha za watu waliwekwa kwenye kitambaa cha meza yenye vikombe juu yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zim...Hapo Nyerere ana miaka 33 tu. Sasa leo hii nitafutie vijana wenye miaka 33 au zaidi miongoni mwa watu wetu kwenye siasa. Kwenye inshu kama hizi za kupambana na ukoloni mamboleo utawasikia "tutashtakiwa MIGA".
Mail...
Rogo...Same story. Same results. Ni hivi, wa mbili havai moja. Tuachieni Tanzania njema isiyo na upendeleo wala matabaka. Haya mambo ya kufikiri nani zaidi, hayaijengi Tanzania. Makosa yaliyofanyika sisi mbona tunataka kuyarudia na kupitiliza badala ya kurekebisha?
Ila Mwenyezi Mungu ni fundi. Kila tukipanga upuuzi wetu, yeye anapangua. kama hatujajifunza hilo, tujiandae kuzikwa na masikitiko.
Kamilisha bibliografia kwa kuweka:Msome Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002) utapanua uelewa wako.
Mama...Kamilisha bibliografia kwa kuweka:
Jina la mtunzi (mwaka), jina la kitabu (mji kilikochapishwa: kampuni ya uchapaji, mwaka wa uchapaji).
Heko msomi mwanahistoria,M.Saidi Nakupongeza, Kwa kujitahidi kuweka mambo wazi.Mama...
Nimeacha makusudi ili kijana ahangaike ikiwa hawajui waandishi hawa.
Ikiwa hawajui hakuwa na sababu ya kutaka kufanya mjadala wa somo hana ujuzi nalo.
Battawi,Heko msomi mwanahistoria,M.Saidi Nakupongeza, Kwa kujitahidi kuweka mambo wazi.
Tanzania itakulilia sana siku utakapotoweka na wakatambua makosa yao ya kutokuikusanya historia ya Tanganyika na Kuiandiak kiusahihi.
Lakini mimi nadhani kama ''Kuna kaji system kinadhibiti ukweli huu usijulikane vile! na si juikwa maslahi ya nani! ''
Shk .Mohamed Una lolote unaweza kusema juu ya hili ?
Labda Kanisa enzi hizo ni part and parcel ya colonial machinery.Hatujiulizi historia ya kanisa katoliki before 1961 ikoje??Mbona kama hakuna kabisa?
Wala hakuna historia ya kanisa kupigania uhuru licha ya kuwepo kama taasisi decades kadhaa kabla ya Uhuru..
Something very fishy
Akili kubwa huongoza.....Natafakari kwanza!
Hapo mgalatia ni Kambarage peke yake.
Lakini Mkatoliki mmoja mahiri, akili kubwa ailiwaunganishaWatu wa pwani ni wapenda haki na uhuru, wakati waislam wanapambania uhuru wengi wa wakatoliki walikuwa wamejificha huko vichochoroni kwa woga na uzwazwa.
Mifano uko hai tawala za Mwinyi, JK na sasa Mama Samia zinajitanabaisha kuwa za angalay kuwa na uhuru na amani tofauti na wengine
Rogo...
Ningesema kama unavyotaka wewe kuwa, "tuache," mimi ningekuwa nimewafanyia wazee wangu dhulma kubwa sana.
Wazee wangu ndiyo walioasisi African Association na hii African Association ndiyo iliyokuja kuzaa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika, TAA kisha TANU.
Yote haya wamefanya Tanganyika iwe huru ili haki na usawa katika jamii ipatikane.
Uhuru umepatikana na kwa bahati mbaya sana historia yao ikafutwa na yale waliyopigania hayakufikiwa.
Mimi nimenyanyua kalamu kuandika historia ya watu hawa ili iwe mwongozo kwa kizazi cha sasa kuondoa hii dhahma.
Kama nisingeandika ungejuaje historia ya kweli ya TANU?
Mzee wetu Mohamed Said kilio chake kikubwa ni kutoona abdul sykes hatajwiNasoma kitabu cha PAUL BJERK. Hakuna ambaye hajatendewa haki. Ilikuwa haiwezekani kuenda next stage kwa TAA kama wasingewaalika wajanja wa enzi hizo kukaa viti vya mbele.
Sasa hivi Wazee wanaandika vitabu vyao. Wanapunguza haya mambo ambayo mengine hayabebi ukweli na uhalisia uliokuwepo enzi zile wakati baadhi ya matukio yanatokea. miujiza tena na tena isiyokauka
Natafakari kwanza!
Hapo mgalatia ni Kambarage peke yake.
Mrangi,
Msome Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002) utapanua uelewa wako.
John Rupia anaonekana alikua mtoto wa mjini sana, ana kibri flani hivi mjuaji na haogopi chochote,pia anaonekana alikua na exposure na amekulia kimjinimjini mzee wangu mohamedi nisaidie kama nimekosea maana nimemuangalia muonekano tu
Ni huyo tu? Hivi Abdul ndio alimshawishi Kambona kujiunga na TANU? Pengine historia iboreshwe...hao watu waandikwe. Na roles zao zitajwe. Ili tusiandikie mate wakati wino upo.