Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Amafundisha nani sasa kuanzia chekechea.....Ibaki tu lugha ya mawasiliano mtaani.
Ila mashuleni watoto waanze kiingereza tangu chekechea.
Na lugha ya kufundishia itumike kiingereza na kiswahili kibaki Kama SOMO