Nyerere alivyojibu maswali ya Eleanor Roosevelt (First lady) wa Marekani mwaka 1959

Nyerere alivyojibu maswali ya Eleanor Roosevelt (First lady) wa Marekani mwaka 1959

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Sikiliza mzee wa nondo alivyokuwa akizimwaga mbele kujibu mashambulizi kutoka pande nne. Ikumbukwe kuwa Eleanor Roosevelkt ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya umoja wa mataifa iliyodraft na kupitisha azimio la haki za binadamu.

Katika maongezi hayo ameongelea pia maoni yake kuhusu swala la kuzalisha umeme Stieglers Gorge enzi hizo, lakini utekelazaji umesubiri mpaka awamu ya tano!



Nimesahau kuongezea kuwa interview hii ilifanyika wakati SSH, JPM, na MKM hawajazaliwa! Mimi nilikuwa bado ninanyonya!!
 
Sikiliza mzee wa nondo alivyokuwa akizimwaga mbele kujibu mashambulizi kutoka pande nne. Ikumbukwe kuwa Eleanor Roosevelkt ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya umoja wa mataifa iliyodraft na kupitisha azimio la haki za binadamu.

Katika maongezi hayo ameongelea pia maoni yake kuhusu swala la kuzalisha umeme Stieglers Gorge enzi hizo, lakini utekelazaji umesubiri mpaka awamu ya tano!



Nimesahau kuongezea kuwa interview hii ilifanyika wakati SSH, JPM, na MKM hawajazaliwa! Mimi nilikuwa bado ninanyonya!!

Mwaka gani
 
Huyu ndo alikuwa na uwezo wa kumsema mzungu akiwa amekaa nae meza moja... if you took my jacket there's no need of asking me if I'm ready to get it back, the question if it will fit me or not is not necessary, the fact is it's my jacket you have to give back my jacket

Na issue ya democracy alijibu very clear kwamba waafrika wote kwa wakati ule walikuwa wapinzani wa ukoloni hivyo haikuwa na maana kuunda vyama vya upinzani wakati wote wanadai uhuru. Vyama vya upinzani vingekuja baadae pale serikali itakapoanza kuhudumia wananchi ili vikosoe serikali itakapoenda ndivyo sivyo ila sio kuwa na vyama vya upinzani katikati ya harakati za kudai uhuru

Kuna baadhi wanamkosoa Nyerere kwa mengi lakini hawana budi kujua zama alizotawala Nyerere zilizokuwa na pressure kiasi gani

Kuanzia waafrika kuonekana hawana uwezo wa kujitawala, kugombaniwa na pande za communist na capitalist, umasikini wa wananchi, vibaraka ndani ya nchi, kushinikizwa kuongoza nchi Kama dunia inavyotaka, upungufu mkubwa wa wasomi ndani ya nchi.

Kuongoza nchi ukiwa umezungukwa na pressure zote hizo ni rahisi sana kufanya makosa hata ungekuwa geneous kiasi gani!

Kuna mtu kelele za wapinzani tu zilimfanya akose mwelekeo

Kuna mtu kelele za katiba mpya tu zinataka kumtoa kwenye reli

R.I.P Mwl. JK Nyerere
 
JKN WAS A BRILLIANT man. Aendelee kupumzika kwa Amani popote Alipo. Anakwambia opposition watakuwa na maana kwa taifa wakiweka mezani respectable issues.
mzee alikuwa articulate sana.
asante sana Kichuguu
 
Huyu ndo alikuwa na uwezo wa kumsema mzungu akiwa amekaa nae meza moja... if you took my jacket there's no need of asking me if I'm ready to get it back, the question if it will fit me or not is not necessary, the fact is it's my jacket you have to give back my jacket
Walitutangulia kutengeneza mikakati madhubuti ya kujenga DISCIPLINE. Kwenye swala la IQ tunafanana, na tunaweza kuwa tunawazidi katika maeneo mengine isipokuwa kwenye swala la DISCIPLINE hapo ndiyo wanatupita kwa mbali muno, wao wanayo 200 times ours!
 
Huyu ndo alikuwa na uwezo wa kumsema mzungu akiwa amekaa nae meza moja... if you took my jacket there's no need of asking me if I'm ready to get it back, the question if it will fit me or not is not necessary, the fact is it's my jacket you have to give back my jacket

Na issue ya democracy alijibu very clear kwamba waafrika wote kwa wakati ule walikuwa wapinzani wa ukoloni hivyo haikuwa na maana kuunda vyama vya upinzani wakati wote wanadai uhuru. Vyama vya upinzani vingekuja baadae pale serikali itakapoanza kuhudumia wananchi ili vikosoe serikali itakapoenda ndivyo sivyo ila sio kuwa na vyama vya upinzani katikati ya harakati za kudai uhuru

Kuna baadhi wanamkosoa Nyerere kwa mengi lakini hawana budi kujua zama alizotawala Nyerere zilizokuwa na pressure kiasi gani

Kuanzia waafrika kuonekana hawana uwezo wa kujitawala, kugombaniwa na pande za communist na capitalist, umasikini wa wananchi, vibaraka ndani ya nchi, kushinikizwa kuongoza nchi Kama dunia inavyotaka, upungufu mkubwa wa wasomi ndani ya nchi.

Kuongoza nchi ukiwa umezungukwa na pressure zote hizo ni rahisi sana kufanya makosa hata ungekuwa geneous kiasi gani!

Kuna mtu kelele za wapinzani tu zilimfanya akose mwelekeo

Kuna mtu kelele za katiba mpya tu zinataka kumtoa kwenye reli

R.I.P Mwl. JK Nyerere
Nimeshiba
 
Sikiliza mzee wa nondo alivyokuwa akizimwaga mbele kujibu mashambulizi kutoka pande nne. Ikumbukwe kuwa Eleanor Roosevelkt ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya umoja wa mataifa iliyodraft na kupitisha azimio la haki za binadamu.

Katika maongezi hayo ameongelea pia maoni yake kuhusu swala la kuzalisha umeme Stieglers Gorge enzi hizo, lakini utekelazaji umesubiri mpaka awamu ya tano!



Nimesahau kuongezea kuwa interview hii ilifanyika wakati SSH, JPM, na MKM hawajazaliwa! Mimi nilikuwa bado ninanyonya!!
Hongera sana Mkuu
 
if you took my jacket there's no need of asking me if I'm ready to get it back, the question if it will fit me or not is not necessary, the fact is it's my jacket you have to give back my jacket
 
Huyu ndo alikuwa na uwezo wa kumsema mzungu akiwa amekaa nae meza moja... if you took my jacket there's no need of asking me if I'm ready to get it back, the question if it will fit me or not is not necessary, the fact is it's my jacket you have to give back my jacket

Na issue ya democracy alijibu very clear kwamba waafrika wote kwa wakati ule walikuwa wapinzani wa ukoloni hivyo haikuwa na maana kuunda vyama vya upinzani wakati wote wanadai uhuru. Vyama vya upinzani vingekuja baadae pale serikali itakapoanza kuhudumia wananchi ili vikosoe serikali itakapoenda ndivyo sivyo ila sio kuwa na vyama vya upinzani katikati ya harakati za kudai uhuru

Kuna baadhi wanamkosoa Nyerere kwa mengi lakini hawana budi kujua zama alizotawala Nyerere zilizokuwa na pressure kiasi gani

Kuanzia waafrika kuonekana hawana uwezo wa kujitawala, kugombaniwa na pande za communist na capitalist, umasikini wa wananchi, vibaraka ndani ya nchi, kushinikizwa kuongoza nchi Kama dunia inavyotaka, upungufu mkubwa wa wasomi ndani ya nchi.

Kuongoza nchi ukiwa umezungukwa na pressure zote hizo ni rahisi sana kufanya makosa hata ungekuwa geneous kiasi gani!

Kuna mtu kelele za wapinzani tu zilimfanya akose mwelekeo

Kuna mtu kelele za katiba mpya tu zinataka kumtoa kwenye reli

R.I.P Mwl. JK Nyerere

Nyerere alikua ni Dikteta uchwara acha kumpamba. Haikuwa na maana kuunda vyama vingi kwani yeye ndie aliekua na mamlaka ya kuwaamulia watanzania?
 
Nyerere alikua ni Dikteta uchwara acha kumpamba. Haikuwa na maana kuunda vyama vingi kwani yeye ndie aliekua na mamlaka ya kuwaamulia watanzania?
Na Nyerere asingekubali mfumo was vyama vingi tofauti na maoni ya wengi mpaka Leo tulikuwa na chama kimoja. Mwisho wa siku alisimamia uwepo was vyama vingi, tuwe na Moto wa shukrani hata kidogo.
 
Na Nyerere asingekubali mfumo was vyama vingi tofauti na maoni ya wengi mpaka Leo tulikuwa na chama kimoja. Mwisho wa siku alisimamia uwepo was vyama vingi, tuwe na Moto wa shukrani hata kidogo.

Ndivyo unavoamini hivo? kuna nchi gani Africa iliyobaki kuwa ya Chama kimoja baada ya Wazungu kuitaka iwe na vyama vingi? sifa zengine ni za kijinga kabisa
 
Back
Top Bottom