Nyerere aliwagomea TANU kususia uchaguzi ila Mbowe kawashawishi CHADEMA kususia!! Hili laweza kuwa kaburi la CHADEMA

Na huwezi kupigania katiba mpya chini ya mazingira yaliyopo kwani utaulizwa na wananchi mbona ulishapata wabunge zaidi ya 40% chini ya tume na katiba hii!? Kwa hiyo itaonekana kama mfa maji
 
Na huwezi kupigania katiba mpya chini ya mazingira yaliyopo kwani utaulizwa na wananchi mbona ulishapata wabunge zaidi ya 40% chini ya tume na katiba hii!? Kwa hiyo itaonekana kama mfa maji
Kupata wabunge hata 50% hakumaanishi kwamba kuna ustawi kwa demokrasia huru. Kushiba home kisiwe kigezo kwamba nyumba hiyo ina amani.
 
Kupata wabunge hata 50% hakumaanishi kwamba kuna ustawi kwa demokrasia huru. Kushiba home kisiwe kigezo kwamba nyumba hiyo ina amani.
Madai ya katiba mpya yatakuwa na nguvu chama kikiwa na wabunge wengi
 
njia bora ya kudai katiba mpya ni kurudi kwa wananchi ambao ndiyo msingi wa mamlaka ya nchi ulipo.
Utadai kupitia jukwaa lipi!? Chama cha siasa ni jukwaa rahisi la kuwaunganisha watu
 

..Chadema walishiriki 2020 na dhuluma waliyotendewa na afadhali wasingeshiriki.

..Kinachohitajika Tz ni uwanja ulio huru kwa kila chama kufanya siasa na kushiriki uchaguzi.

..Hoja yako kuhusu kura za hasira au chuki nazikataa. Nadhani fikra za namna hiyo ndio zinazoharibu siasa za Tz.

..Badala ya kuchemsha bongo na kuja na sera zitakazoboresha maisha ya Watz vyama viko busy kupika propaganda za kupotosha na kujenga chuki.

..Turudi kwenye KANUNI YA DHAHABU / Golden rule kwamba kila mwananchi amtendee mwenzake vile angependa na yeye atendewe.
 
Utadai kupitia jukwaa lipi!? Chama cha siasa ni jukwaa rahisi la kuwaunganisha watu
Kwa mfano sasa hivi CDM wanafanya digital membership registration je wanawafikia wananchi kwa kutumia jukwaa lipi ? information flow sasa hivi kwa kutumia new technologies imerahisishwa sana ndugu - ni mambo ya kujipanga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…