Hapa Tunazungumzia Tuzo Ya Aman Ya Nobel. Hii Tuzo Watu Wengi Wanao Amini Amani Katika Mapigo Akiwemo George Bush Na Pinda Miaka 1000, Hawawezi Kuipokea! Kwa Case Ya Mwalimu Ni Kwamba Alikuwa Nauwezo Mkubwa Wa Kusorve Matatizo Kwa Mdomo, Lakini Aliamini Katika Mapigo! Wakati Furani Nilisikia Watanzania 3000, Waliuawa Na Mreno Mozambique, Kuficha Aibu Kombe Likafunikwa Hadi Miili Ilivyo Rudishwa Hv Karibuni! Watanzania Waliuawa Angola Na Zimbabwe, Uganda - Kiko Akatangaza WATANZANIA WANA KUFA KAMA KUKU, / KAMA MITI IMELAZWA! Ikabidi Arudishwe Aje Anae Tangaza Bara~bara! Kwa Tathmini Hii, Anastahili Tuzo Ya Amani?