Nyerere, Mwinyi na Mkapa walipewa udaktari wa heshima lakini hawakutumia kunani hawa wanaoutumia?

...Maswali Mazuri. Ogopa Viongozi wa Kiafrika Wanavotaka kujikweza bila kukutolea Jasho kujikweza huko !! [emoji57][emoji57]
 
Hawaatahili na hawana sifa Za kuwafanya waswahili
 
Najua unamsema mbunge wako Dr Taletale mzee wa kuongea kwa mapozi Namaanisha ki Phd na kupinda kiuno kidizaini.

Shikamoo Mh Mb. Dr Taletale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…