Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulienda kusomea ujinga shuleni? Nimekuuliza halafu Na wewe unauliza!Ndio ,wewe unaimba kwaya kanisani??
Kamuulize kardinali wako pengo aliyekuambia muungano umeletwa na mungu na anakuambia uulinde kwa hali yoyote
Haya sheik maandazi.hiyo inferiority complexWewe uliyetakasika usiye mwehu , Mtajuana na kardinali wenu Pengo
Hapa kwenye kubadilishana dhahabu kwa chumvi umenikumbusha biashara ya utumwa...Mwanadamu kupigwa mnada kama Samaki sokoni...Pole sana wewe mtoto wa pengo .Umesoma kwenye maskani ni nani Nyerere.??? Pole sana . Watu wamefungwa kwa kukutwa na dola 5 tu za kimarekani mfukoni. Mbeya watu wakibadilisha dhahabu kwa chumvi. Huko jela ndiyo usiseme .
Umetoka nje Ya mada ndugu, inamaana umeusoma utangulizi nduguMkuu umeandika hoja nyingi lakini kuhusu Nyerere; alikuwa binadamu kama tulivyo sisi, kwa hiyo isingewezekana asifanye makosa ukizingatia ilikaa madarakani miaka zaidi ya 20. Lakini mema mengi aliyolitendea Taifa letu yamfanya kuendelea kuwa nuru na alama sahihi ya utu wema na uongozi kwa ajili ya watu. Makosa machache ya Nyerere kamwe hayatafanya wema wake usahaulike katika mioyo ya Watanzania na Waafrika kwa ujumla.
Hamna Muislam anaitwa WilliamMkuu yawezekana unayasema yana ukweli flani ndani yake, lakini hatuwezi kumtwisha Nyerere zigo lote hilo, kumbuka nchi ina taasisi. Zanzibar ina serikali yake, kwa nini unamsema Nyerere
Akina nani hao walioteswa, kuuliwa, kunajisiwa na mali zao kuchukuliwa kwa nguvu na Nyerere alihusikaje? Kwa jamii zilizo staarabika siyo vizuri kuyatumia makosa madogo madogo ya serikali zilizopita kwa faida za kisiasa nk. Lakini ukumbuke kujenga Taifa kama ilivyo Tanzania siyo kazi ya mchezo. Ndiyo maana Tanzania unaweza ukakuta Mkristo anaitwa Juma, Hamis n.k ama Muslam anaitwa Walliam na wanakuwa comfortable kabisa. Unaweza ukafikiri ni jambo dogo lakini viongozi wa kwanza wali- invest hekima na busara. Kwayo huenda hao unaowasema walikuwa wanakwamisha juhudi za ujenzi wa Taifa.
Kwa sababu alikuwa mtanganyika atiuloleta hii mada kifupi tukwambie tu kuwa unafeli sana,hautofanikiwa na huu mkakati wako,uzanzibar wako peleka huko huko,kwani nani unahisi anautaka huu muungano/sie pia hatuutaki,wafia dini bwana,umuache mzee wetu apumzike kwa amani,binafsi sitosita kusema kuwa katufanyia makubwa sana watanganyika,hata kama ana makosa aliyafanya ndio hayo yalifanya ubinadamu wake ukamilike,usipokuwa na makosa basi wewe si binadamu ni malaika,so kifupi nenda kafie mbele ya safari...
Huyo Nyerere yeye ndie alielazimisha Muungano kwa taarifa yakoMtamchukia Nyerere lakini hamwezi kubadili ukweli kwamba mnajiita "Wazanzibari" kwa sababu yake!
Ndo ulivyowaonaHata Wazanzibari wenyewe mbona wanakubali hilo? Ni wewe tu ufahamu wako uko short sighted!