Nyerere na fitna za Upemba na Uunguja

Ulienda kusomea ujinga shuleni? Nimekuuliza halafu Na wewe unauliza!

Kamuulize kardinali wako pengo aliyekuambia muungano umeletwa na mungu na anakuambia uulinde kwa hali yoyote





 
Pole sana wewe mtoto wa pengo .Umesoma kwenye maskani ni nani Nyerere.??? Pole sana . Watu wamefungwa kwa kukutwa na dola 5 tu za kimarekani mfukoni. Mbeya watu wakibadilisha dhahabu kwa chumvi. Huko jela ndiyo usiseme .
Hapa kwenye kubadilishana dhahabu kwa chumvi umenikumbusha biashara ya utumwa...Mwanadamu kupigwa mnada kama Samaki sokoni...

Utumwa ni kitu kibaya sana...Na ndiyo maana mwenye kumkomboa Mtumwa hulipwa fadhila kubwa sana na Mungu..
 
Umetoka nje Ya mada ndugu, inamaana umeusoma utangulizi ndugu
 
Hamna Muislam anaitwa William
 
Kwa sababu alikuwa mtanganyika ati
 
Sema lingine hapo kwa Baba wa Taifa, hatuta kuelewa... Waiter lete Grand Malt Baridiiii, halafu niitie mtu wa jikoni. Kuna mtu kaniboa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…