Mwl Nyerere atakumbukwa kwa mengi kama ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika, Amani na upendo, lugha ya kiswahili, umoja wa kitaifa, ujamaa, ukombozi wa ardhi ya Tanzania toka kwa nduli Amin nk.
Hata hivyo hatutakusahau kwa kutuachia genge la mafisadi Ccm, na nina imani kama kuna dhambi unatumikia adhabu yake na inakuchelewesha pengine kutangazwa mtakatifu basi ni kutuachia hawa jamaa.
Kuanzia kuiba kura, kuua tembo wetu, kugawa rasrimali zetu, kutesa na kuua watu, madawa ya kulevya, kugawiana vyeo kindugu, kutuchonganisha kiimani, kubaka demikrasia nk nk. Sasa wamefikia hatua ya kughushi hata sahihi yako kuharalisha uharibifu wako!!!!
Upumzike kwa amani baba, tulio hai tutazidi kukuombea huruma ya muweza yote Amina!
Hata hivyo hatutakusahau kwa kutuachia genge la mafisadi Ccm, na nina imani kama kuna dhambi unatumikia adhabu yake na inakuchelewesha pengine kutangazwa mtakatifu basi ni kutuachia hawa jamaa.
Kuanzia kuiba kura, kuua tembo wetu, kugawa rasrimali zetu, kutesa na kuua watu, madawa ya kulevya, kugawiana vyeo kindugu, kutuchonganisha kiimani, kubaka demikrasia nk nk. Sasa wamefikia hatua ya kughushi hata sahihi yako kuharalisha uharibifu wako!!!!
Upumzike kwa amani baba, tulio hai tutazidi kukuombea huruma ya muweza yote Amina!