Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You Nailed itLosers always drag winners to their levels in their minds and then live forever in that illusion. That's the most extreme level of defeat I've ever seen.
Ford Explorer ndo Gari ya ndoto yangu
Sasa akiachana na Almas, manake haongelewi tena .Yy wanyonge wake walikuwa Magu, Makonda, Diamond na familia yake.Iifike mahali mange aachane na almasi
Utakuta anaipondea Cadillac Escalade ilihali hapa alipo hana hata kiwanja mjini.Huyu malaya ni much knws kikuma
Kadilaki eskalade ni Uber kindaki ndakiMaybach na Lamborgini ni Uber zipi?
nilijua umeileta hii habari kwa mshangao wa kadilaki kua uba, kumbe umeileta kishabikiCadillac Escalade= Uber iliyochangamka
Au sio wazee wa "Da Mange kasema ".Kadilaki eskalade ni Uber kindaki ndaki
Off course kuishi kule unapata exposure huwezi kudanganyika kiboya Kama kuishi kwenye dunia ya tatuExactly
Watu wanaamini mambe kimambi ni expert katika kila kitu just bcoz yupo states.
Haya majamaaa yananishangaza kweli eti mtu anaona dollar 70k ni kidogoZipo mpaka Ferrari, Lamborghini and the likes ambazo ziko kwenye category ya luxury Uber, hivyo Escallade kuwa Uber haimaanishi ni sawa na Toyota Corolla Uber.
All in all let's say Escallade ni gari cheap kuanzia kuinunua, ushuru hadi maintenance je ni wangapi wanazo Bongo? Msilete reference za Marekani kwani ni nchi mbili zenye tofauti kubwa mno ya standards za maisha.
Sasa akiachana na Almas, manake haongelewi yy wanyonge wake walikuwa Magu, Makonda, Diamond na familia yake.
Magu Mungu kamchukua, Makonda anapiga mitikasi mengine,so sasa yy ana Diamond.
Yeye kazi yake kuweka bando na kujifungia ndani basi ana deal na Diamond pamoja na famila yake.Kaenda US miaka kibao hata kazi ya kuuza mgahawa hana, halafu kuna watu wanamuona Genius utawasikia "akili kubwa......dada wa taifa.......Da Mange kasema ",kumbe yupo yupo US anazurula na unaweza ukakuta hata uwezo wa kununua bando hana anaseleleka na WI-FI za bure US.
Uber ni Uber tu haijalishi ni luxury au vyovyote taxi ni taxi tuAchana na yule Bi Mkubwa kwa sababu issue sio kuwa Uber bali Uber ya aina gani!! Kwa US, kuna Luxury Uber, kwahiyo it's no surprise Cadillac kuwa Uber ingawaje yule bibi anataka kuaminisha watu kwamba it's just like any other Uber.
Huwezi kushindana na mwanamkeNdo maana hanenepi ana maisha magumu sana,kila mwenye nazo anamchukia
Huwezi kushindana na mwanamke
Kwa usupastaa wa Diamond hivyo inabidi iwe ni vitu vya kawaida..Haya majamaaa yananishangaza kweli eti mtu anaona dollar 70k ni kidogo
Hv kweli mtu ana gari mbili za 70k unaona napo hela ndogo aisee