Nyie! Cadillac Escalade inakuaje Uber?

Nyie! Cadillac Escalade inakuaje Uber?

.
Ford Explorer ndo Gari ya ndoto yangu
chrome-image-417378.jpg
 
Iifike mahali mange aachane na almasi
Sasa akiachana na Almas, manake haongelewi tena .Yy wanyonge wake walikuwa Magu, Makonda, Diamond na familia yake.

Magu Mungu kamchukua, Makonda anapiga mitikasi mengine,so sasa yy ana Diamond.

Yeye kazi yake kuweka bando na kujifungia ndani basi ana deal na Diamond pamoja na famila yake.Kaenda US miaka kibao hata kazi ya kuuza mgahawa hana, halafu kuna watu wanamuona Genius utawasikia "akili kubwa......dada wa taifa.......Da Mange kasema ",kumbe yupo yupo US anazurula na unaweza ukakuta hata uwezo wa kununua bando hana anaseleleka na WI-FI za bure US.
 
Zipo mpaka Ferrari, Lamborghini and the likes ambazo ziko kwenye category ya luxury Uber, hivyo Escallade kuwa Uber haimaanishi ni sawa na Toyota Corolla Uber.
All in all let's say Escallade ni gari cheap kuanzia kuinunua, ushuru hadi maintenance je ni wangapi wanazo Bongo? Msilete reference za Marekani kwani ni nchi mbili zenye tofauti kubwa mno ya standards za maisha.
Haya majamaaa yananishangaza kweli eti mtu anaona dollar 70k ni kidogo
Hv kweli mtu ana gari mbili za 70k unaona napo hela ndogo aisee
 
Ndo maana hanenepi ana maisha magumu sana,kila mwenye nazo anamchukia
Sasa akiachana na Almas, manake haongelewi yy wanyonge wake walikuwa Magu, Makonda, Diamond na familia yake.

Magu Mungu kamchukua, Makonda anapiga mitikasi mengine,so sasa yy ana Diamond.

Yeye kazi yake kuweka bando na kujifungia ndani basi ana deal na Diamond pamoja na famila yake.Kaenda US miaka kibao hata kazi ya kuuza mgahawa hana, halafu kuna watu wanamuona Genius utawasikia "akili kubwa......dada wa taifa.......Da Mange kasema ",kumbe yupo yupo US anazurula na unaweza ukakuta hata uwezo wa kununua bando hana anaseleleka na WI-FI za bure US.
 
Achana na yule Bi Mkubwa kwa sababu issue sio kuwa Uber bali Uber ya aina gani!! Kwa US, kuna Luxury Uber, kwahiyo it's no surprise Cadillac kuwa Uber ingawaje yule bibi anataka kuaminisha watu kwamba it's just like any other Uber.
Uber ni Uber tu haijalishi ni luxury au vyovyote taxi ni taxi tu
 
Back
Top Bottom