Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of course, hata Landmark ya pale Ubungo Riverside (kama bado ina-exist) na Serena ya pale Ohio, zote ni hotel tu, na kwahiyo hotel ni hotel tu! Sasa endelea kujiona mpo sawa kati yako unayepeleka demu Landmark Hotel na mwenzako anayepeleka demu Serena Hotel!!!Uber ni Uber tu haijalishi ni luxury au vyovyote taxi ni taxi tu
Mzee, tena huwezi kusema $70K kwa sababu hiyo ni bei ya kununulia!! Cadillac ipo kwenye kundi la luxury cars, na kodi yake ile ni zaidi ya Sh. 100M! Kwa maana nyingine, ile gari hadi inaingia barabarani itakuwa inakaribia 400M. Sasa ni mwehu tu ndie anaweza kukejeli gari ya 400M. Ile gari ukiileta Bongo halafu ukaiingiza showroom, wa kuinunua wanahesabika.Haya majamaaa yananishangaza kweli eti mtu anaona dollar 70k ni kidogo
Hv kweli mtu ana gari mbili za 70k unaona napo hela ndogo aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata Google kwenyewe hawatambuliki sasa, lol[emoji23][emoji23] sasa mbn wengine wanataka kujilinganisha na dunia ya kwanza mpk wanataka wawa google.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa akiachana na Almas, manake haongelewi tena .Yy wanyonge wake walikuwa Magu, Makonda, Diamond na familia yake.
Magu Mungu kamchukua, Makonda anapiga mitikasi mengine,so sasa yy ana Diamond.
Yeye kazi yake kuweka bando na kujifungia ndani basi ana deal na Diamond pamoja na famila yake.Kaenda US miaka kibao hata kazi ya kuuza mgahawa hana, halafu kuna watu wanamuona Genius utawasikia "akili kubwa......dada wa taifa.......Da Mange kasema ",kumbe yupo yupo US anazurula na unaweza ukakuta hata uwezo wa kununua bando hana anaseleleka na WI-FI za bure US.
Ndo ukweli wenyewe, ambao wabongo hawataki kuusikia, hasa domokaya team [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Off course kuishi kule unapata exposure huwezi kudanganyika kiboya Kama kuishi kwenye dunia ya tatu
Kwa USA huwa wanapenda vyao ila duniani luxury cars karibia zote katika top 10 zinatoka Germany na ndio maana nje ya USA huwezi kuta watu maarufu wanaendesha hizi gari za US. kikwetu hapa ni zile gari unanunua bei kubwa na ukitaka kuuza unapata bei kubwa na hiyo ni Toyota Landcruiser tu zingine thamani inaunguka ikitoka showroom tu na naongelea zero KM gari mpya kabisa sio used.Zipo mpaka Ferrari, Lamborghini and the likes ambazo ziko kwenye category ya luxury Uber, hivyo Escallade kuwa Uber haimaanishi ni sawa na Toyota Corolla Uber.
All in all let's say Escallade ni gari cheap kuanzia kuinunua, ushuru hadi maintenance je ni wangapi wanazo Bongo? Msilete reference za Marekani kwani ni nchi mbili zenye tofauti kubwa mno ya standards za maisha.
Mi nasema hivi! Mange hata kama gari yenyewe anayo basi ni ya Kijapan ya $4500 kwahiyo anaona aibu hata kui-post! Mange anavyopenda mapicha picha, na angekuwa na gari iliyoenda shule, angeturushia hadi mapicha akikatiza mitaa ya LA!!Utakuta anaipondea Cadillac Escalade ilihali hapa alipo hana hata kiwanja mjini.
New boss70k used?
Sikatai lakini mkuu si diamond ana escalade mbili lile la lexanimotors si 250k USD au nalo ni la kawaida kwa uchumi wakeKwa usupastaa wa Diamond hivyo inabidi iwe ni vitu vya kawaida..
Huwa anapost kavaa viskini taiti huku akidolishia spoku zake, hata kununua wigi la kubadilisha anashindwa.Mi nasema hivi! Mange hata kama gari yenyewe anayo basi ni ya Kijapan ya $4500 kwahiyo anaona aibu hata kui-post! Mange anavyopenda mapicha picha, na angekuwa na gari iliyoenda shule, angeturushia hadi mapicha akikatiza mitaa ya LA!!
Hizi gari zinatengenezwa na makampuni mawili tofauti moja inatengeneza copy na nyingine og! Og bei yake imesimama na ndiyo ile ya kwanza ambayo kuijua mpaka uone ndani ina lound usd 350,000 mpaka 500,000New boss
Ile ya pili ila ile ya kwanza
Ni kama 250k new maana ni lexani luxury wameipamba ndani
unachanganya madesa mkuuHizi gari zinatengenezwa na makampuni mawili tofauti moja inatengeneza copy na nyingine og! Og bei yake imesimama na ndiyo ile ya kwanza ambayo kuijua mpaka uone ndani ina lound usd 350,000 mpaka 500,000View attachment 1830854
Ni msengelema wa mwisho mbwa huyuHuyu malaya ni much knws kikuma
Kitu Cha Cadillac Escalade kinakuaje Uber? Huko Ni kukosa adabu kwa gari pendwa
View attachment 1829743
View attachment 1829744