Nyie kuna uhuni nimewanyia 1xbet sasa najuta naomba msaada

Nyie kuna uhuni nimewanyia 1xbet sasa najuta naomba msaada

Simeone

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
905
Reaction score
1,002
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
 
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Unatumia app yao au website?
 
Kama umekula kihalali waambie huna PC kama wasipokulipa utaenda bodi ya michezo na uwaambie utaitisha waandishi kuwasanua mtu akila hela ya maana wanaleta utapeli. Hamna sehemu inataka mtu awe na PC ndio atoe hela.
 
Kama umekula kihalali waambie huna PC kama wasipokulipa utaenda bodi ya michezo na uwaambie utaitisha waandishi kuwasanua mtu akila hela ya maana wanaleta utapeli. Hamna sehemu inataka mtu awe na PC ndio atoe hela.
doh ngoja niwatumie email.
 
Back
Top Bottom