Nyie kuna uhuni nimewanyia 1xbet sasa najuta naomba msaada

Nyie kuna uhuni nimewanyia 1xbet sasa najuta naomba msaada

Screenshot_20240509-141703.jpg
 
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Ulitanya arbitrage nini
 
Unataka kutoa hela ulizoshinda kihalali au umeona mahali kunavuja unataka kuwapiga kimtindo msukuma?
Acha awapige
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Safi sana,ngoja nikuunganishe na wanigeria.....au mshkaji mmoja anaitwa Donald ex-mzumbe sec schl member(1999-2005)....hapo code zmelala
 
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Wamekushika pabaya fanya kama wanavyotaka, hamna shortcut apo

Otherwise andika maumivu kwenye hela yako
 
Wakuu kwema, mimi mkamaria ninayetumia 1xbet, wakamaria kama mnavyojua tunakula sana za uso...

Mimi siyo mwandishi mzuri tuvumiliane

Siku moja nikakaa chini nikafikiria namna ya kupata pesa kupitia betting bila kuloss, niliziangalia sana odds za 1xbet kwa umakini nikagundua kuna mahala panavuja nikaanza kujitoe hela bahati mbaya sana msukuma nimeshtukiwa mapema na nimezuliwa kutoa pesa, kila nikitaka kutoa pesa napata POP-UP MESSAGE kwamba niwatumie documents kwenye Email, nimewatumia bado wanataka niwatumie SCREENSHOT ya miamala yangu kwa njia ya PC nami sina pc

Lengo la kuja hapa wazoefu wa hizi mambo naomba mnipe trick ili niweze kutoa hiyo hela bila kutumia pc, nitatoa hela ya mtaji kwa atakayeweza kunisaidia.
Ni kiasi gani unataka kutoa?
Unalipia trick utakayooewa au msaada.?
Kama uko serious ni dkk 15 tu
 
Back
Top Bottom