Nyie Kuna wazee wanaswaga,Vijana mkasome

Nyie Kuna wazee wanaswaga,Vijana mkasome

Nanamucho

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
119
Reaction score
567
Nikiwa town kwenye mishe zangu,Kuna mahali mchana huwa napenda kwenda kula,wakati natoka Kuna mahali nilipita kwenda kuchukua mkoba wangu

Eeeeh sinikasikia naitwa,kugeuka namuona mbaba mtu mzima ila vaa yake kama wale dereva tours,nyieeeee 😹

Kuna watu wanajua kutongoza,yaani nimejiuliza maswali mengi nakosa majibu,kwanza mbaba wa watu anajiamini hatari😹

Ukweli ni kwamba,mbaba wa watu kawazidi mbali sana Vijana waliowahi nitongoza Kwa Swaga

Vijana jiaminini mnapotongoza,mnatia aibu
 
Nikiwa town kwenye mishe zangu,Kuna mahali mchana huwa napenda kwenda kula,wakati natoka Kuna mahali nilipita kwenda kuchukua mkoba wangu

Eeeeh sinikasikia naitwa,kugeuka namuona mbaba mtu mzima ila vaa yake kama wale dereva tours,nyieeeee 😹

Kuna watu wanajua kutongoza,yaani nimejiuliza maswali mengi nakosa majibu,kwanza mbaba wa watu anajiamini hatari😹

Ukweli ni kwamba,mbaba wa watu kawazidi mbali sana Vijana waliowahi nitongoza Kwa Swaga

Vijana jiaminini mnapotongoza,mnatia aibu
Mwanaume kujifanya mwanamke,uta.fir.wa
 
Nikiwa town kwenye mishe zangu,Kuna mahali mchana huwa napenda kwenda kula,wakati natoka Kuna mahali nilipita kwenda kuchukua mkoba wangu

Eeeeh sinikasikia naitwa,kugeuka namuona mbaba mtu mzima ila vaa yake kama wale dereva tours,nyieeeee 😹

Kuna watu wanajua kutongoza,yaani nimejiuliza maswali mengi nakosa majibu,kwanza mbaba wa watu anajiamini hatari😹

Ukweli ni kwamba,mbaba wa watu kawazidi mbali sana Vijana waliowahi nitongoza Kwa Swaga

Vijana jiaminini mnapotongoza,mnatia aibu
Baada ya hapo ikawaje! Ulimtunuku? Moto anajua kupeleka?
 
Nikiwa town kwenye mishe zangu,Kuna mahali mchana huwa napenda kwenda kula,wakati natoka Kuna mahali nilipita kwenda kuchukua mkoba wangu

Eeeeh sinikasikia naitwa,kugeuka namuona mbaba mtu mzima ila vaa yake kama wale dereva tours,nyieeeee 😹

Kuna watu wanajua kutongoza,yaani nimejiuliza maswali mengi nakosa majibu,kwanza mbaba wa watu anajiamini hatari😹

Ukweli ni kwamba,mbaba wa watu kawazidi mbali sana Vijana waliowahi nitongoza Kwa Swaga

Vijana jiaminini mnapotongoza,mnatia aibu
Hizo swaga ziandike hapa
 
Tuje kwenye theme sasa, unanpa %ngapi kwenye kuwekana?
 
Back
Top Bottom