Nyie mnaoenda kwa Waganga na kwa manabii , ili mtoboe niwaambie hamna kitu Mtapata .

Nyie mnaoenda kwa Waganga na kwa manabii , ili mtoboe niwaambie hamna kitu Mtapata .

Tangu nijunge JF the home of Great thinkers wenye fikra pana .

Niseme tu tunahitaji mikakati kuondoa dhana kuwa umasikini Ni laana .ili watu wasiende kutafta upako kwa manabii fake na kuroga .

Mimi nataka niseme kuwa umasikini tumerithi Kama watu wengine wanavyorithi utajiri
Wazazi Fahamu mapema hilo tusitafute lawama
Naunga mkono hoja!
Tumerithi umaskini
 
Hii dunia ni yetu wote ila wachache ndio wanaijua.
 
Back
Top Bottom