Nyie mnaonaje kuhusu hili

Nyie mnaonaje kuhusu hili

hapo Kuna mambo 2,kwanza anataka akusome vizuri kama unafaa kuwa mke bora au ni upepo mtupu tu ili asije akawekeza yakamfika hapa.
pili. anaweka kinga ili yakimkuta asiumie sana kimsingi anakupenda
 
Yupo kimaslahi zaidi kwako.... Hebu kaa kama wiki moja hivi usimpokelee simu zake au zima simu kabisakabisa.
 
Mambo zenu humu ndani,jamani yamenifika hapaaaa naomba ushauri wenu.
Huyu mwanaume wangu nimeanza kudate nae mwaka jana mwezi wa nne.
Katika kipindi hicho hadi sasa nimegundua yafuatayo:

[emoji117]aliniambia hapendi mtu yoyote ajue about us(am very okay with that mana hata mimi kwa kiasi fulani sipendi, ila sio kwamba ndo niweke nguvu zangu kwenye kufanya mahusiano haya yawe siri....ikitokea mtu akagundua sio kesi kwangu mimi)...ila ye kwa upande flani anakua kama hapendi(though hakasiriki)

[emoji117]anasema me wa kishua so hana haja ya kunipa msaada wa fedha..(kila siku hua namwambia me sio wa kishua but anajitoa ufahamu anang'ang'ania msimamo wake...hata hivyo sijawahi kumwomba hela hata siku moja...sijui anajihami idk)

[emoji117]idk but me namwona kama selfish...anaweza akalalamika shida me nkamsaidia but me nkiwa na shida simwoni hata kunifariji(anadai ye sio mwongeaji sana)...ni kweli ila sitaki kuamini mtu anashindwa hata kutoa maneno ya faraja kwa mpenzi wake et kisa sio mwongeaji

[emoji117]anadai hajui kubembeleza...so kama anataka ufanye kitu fulan akakataa anakuacha...sometimes kitu kinahitaji at least aniconvince but ndo hivo its like anasusa idk

[emoji117]hajawahi kuongelea about our future na akiongelea jua ni about sex tu

[emoji117]ana tabia ya visasi

Sometimes naona ananipenda but nkifikiria hivyo vitu nakua nadoubt idk maybe am just being paranoid

Sijawahi mwona ana dalili zozote za kucheat ila sina uhakika asilimia zote

Sitaki kumjudge vibaya so guys mawazo yenu ni muhimu than you can imagine.
Achana nae Njoo kwangu!
Huyo Akupendi!
 
Mkuu mpo pamoja bado ? Mie nipo nipo tu karibu
Mambo zenu humu ndani,jamani yamenifika hapaaaa naomba ushauri wenu.
Huyu mwanaume wangu nimeanza kudate nae mwaka jana mwezi wa nne.
Katika kipindi hicho hadi sasa nimegundua yafuatayo:

[emoji117]aliniambia hapendi mtu yoyote ajue about us(am very okay with that mana hata mimi kwa kiasi fulani sipendi, ila sio kwamba ndo niweke nguvu zangu kwenye kufanya mahusiano haya yawe siri....ikitokea mtu akagundua sio kesi kwangu mimi)...ila ye kwa upande flani anakua kama hapendi(though hakasiriki)

[emoji117]anasema me wa kishua so hana haja ya kunipa msaada wa fedha..(kila siku hua namwambia me sio wa kishua but anajitoa ufahamu anang'ang'ania msimamo wake...hata hivyo sijawahi kumwomba hela hata siku moja...sijui anajihami idk)

[emoji117]idk but me namwona kama selfish...anaweza akalalamika shida me nkamsaidia but me nkiwa na shida simwoni hata kunifariji(anadai ye sio mwongeaji sana)...ni kweli ila sitaki kuamini mtu anashindwa hata kutoa maneno ya faraja kwa mpenzi wake et kisa sio mwongeaji

[emoji117]anadai hajui kubembeleza...so kama anataka ufanye kitu fulan akakataa anakuacha...sometimes kitu kinahitaji at least aniconvince but ndo hivo its like anasusa idk

[emoji117]hajawahi kuongelea about our future na akiongelea jua ni about sex tu

[emoji117]ana tabia ya visasi

Sometimes naona ananipenda but nkifikiria hivyo vitu nakua nadoubt idk maybe am just being paranoid

Sijawahi mwona ana dalili zozote za kucheat ila sina uhakika asilimia zote

Sitaki kumjudge vibaya so guys mawazo yenu ni muhimu than you can imagine.
 
Kwenye mahusiano ukiona unaambiwa tu kwamba tufanye siri, jua umeliwa. Hii inaapply kwa wote sio wanaume sio wanawake.
 
Mambo zenu humu ndani,jamani yamenifika hapaaaa naomba ushauri wenu.
Huyu mwanaume wangu nimeanza kudate nae mwaka jana mwezi wa nne.
Katika kipindi hicho hadi sasa nimegundua yafuatayo:

[emoji117]aliniambia hapendi mtu yoyote ajue about us(am very okay with that mana hata mimi kwa kiasi fulani sipendi, ila sio kwamba ndo niweke nguvu zangu kwenye kufanya mahusiano haya yawe siri....ikitokea mtu akagundua sio kesi kwangu mimi)...ila ye kwa upande flani anakua kama hapendi(though hakasiriki)

[emoji117]anasema me wa kishua so hana haja ya kunipa msaada wa fedha..(kila siku hua namwambia me sio wa kishua but anajitoa ufahamu anang'ang'ania msimamo wake...hata hivyo sijawahi kumwomba hela hata siku moja...sijui anajihami idk)

[emoji117]idk but me namwona kama selfish...anaweza akalalamika shida me nkamsaidia but me nkiwa na shida simwoni hata kunifariji(anadai ye sio mwongeaji sana)...ni kweli ila sitaki kuamini mtu anashindwa hata kutoa maneno ya faraja kwa mpenzi wake et kisa sio mwongeaji

[emoji117]anadai hajui kubembeleza...so kama anataka ufanye kitu fulan akakataa anakuacha...sometimes kitu kinahitaji at least aniconvince but ndo hivo its like anasusa idk

[emoji117]hajawahi kuongelea about our future na akiongelea jua ni about sex tu

[emoji117]ana tabia ya visasi

Sometimes naona ananipenda but nkifikiria hivyo vitu nakua nadoubt idk maybe am just being paranoid

Sijawahi mwona ana dalili zozote za kucheat ila sina uhakika asilimia zote

Sitaki kumjudge vibaya so guys mawazo yenu ni muhimu than you can imagine.
Hahaha
 
Kwa uliyoeelezea hapo juu huyo mwanaume hakupendi, kwanini mtu yoyote asijue labda kama nyie ni wanafunzi otherwise ana mtu so anaogopa yasije mfikia.

Kuhusu hela sio mbaya san asipokupa ila kama mtu wako inapendeza siku moja moja akupe ingawa si lazima sana.

Upo kwake kwa ajili ya sex kwanini aongelee mambo ndoa, stuka.

Kwa kifupi hana mapenzi na wewe,jiongeze.
Mpe muda azidi kukuongeza njia hata na yy akichoshwa atakutua si ulitoka kwenye mahusiano eee ndo hv kupokezana kuoa ataoa mwengne ww wa starehe tu bidada
 
Back
Top Bottom