Ahahah sura ngumu Tena jamani mkuu. Anatakiwa akija mteja anasimama na kutabasamu huku akimkaribisha. Lugha ni kibebeo kikubwa kwenye bihashara, inafuatia nyenzo.Ni kweli usemalo
Na lingine utakuta ana sura ngumu kila mteja anakimbia
Unataka kusema Wana mvuto wa asili eeh [emoji2960]Sio Biashara kila kitu bila Nguvu za kiroho ngumu Kupata Mafanikio yaani unaweza kuwa unastragle Kupata mahitaji yako ya kila siku wakati wenzio wanagusa tu
Hii nimeona Sana mtu anatumia Nguvu kubwa Kupata wakati wenzie wanagusa tu himo Tangu nilipogundua huu mchezo nimefanikiwa Sana Kupata success bila Nguvu kubwaUnataka kusema Wana mvuto asili eeh [emoji2960]
Kuna jamaa alikuwa best angu, alikuwa na stationary, Kuna kipindi bihashara iliyumba kwake, akawa anafunga Hadi siku 3 hali. Ghafla bin vu akaja mtu pembeni yake akafungua stationary na yeye. Jamaa mbona alihama, alitafuta place nyengine kwa mbele yake ambayo Imechangamka hatari. Ndo yupo hapo mpk Leo. Ila namuaminia kwa kuiombea bihashara yake.Tumia nguvu za kiroho amka saa nane ombea Biashara yako itakuwa maradufu kuzidi hapo Kuna Jamaa hiyo situation Kama yako ilimtokea lakini aliipangua na kuishinda.
Tuibie Siri basi wafanyabihashara wenzio [emoji16][emoji16]Hii nimeona Sana mtu anatumia Nguvu kubwa Kupata wakati wenzie wanagusa tu himo Tangu nilipogundua huu mchezo nimefanikiwa Sana Kupata success bila Nguvu kubwa
Kweli bila kuiombea Biashara yako au kuroga hautobi ndo maana nilkuwa nawashangaa wahindi nawaarabu wanavosali Sana kariakoo kumbe Nikuimarisha Nguvu that way wapo imara.Kuna jamaa alikuwa best angu, alikuwa na stationary, Kuna kipindi bihashara iliyumba kwake, akawa anafunga Hadi siku 3 hali. Ghafla bin vu akaja mtu pembeni yake akafungua stationary na yeye. Jamaa mbona alihama, alitafuta place nyengine kwa mbele yake ambayo Imechangamka hatari. Ndo yupo hapo mpk Leo. Ila namuaminia kwa kuiombea bihashara yake.
Hapa umenena[emoji1666]Biashara ni kitu kinakuhitaji kuwa mpana sana wa idea.Unapaswa kufanya biashara leo huku ukiwaza kesho.
Hii ni kwasababu biashara yoyote yenye wateja ina shawishi watu wengine kuingia humo humo na huwez zuia hilo hivyo cha msingi ni kuhakikisha una grow (wewe binafsi) kwenye biashara unayofanya huku ukihakikisha biashara pia ina grow.
Uki grow wewe kwenye biashara utajikuta una namna ya ku acquire na kutengeneza loyal customers ambao utawafanya kuwa wako hata akose bidhaa kwako atakua radhi aache pesa kwako wewe ndio ukamnunulie kwa jirani (hapa kuna mengi ya kufanya).
So wenzako wanafikiri watagawana wateja na weww wanajikuta wanaambulia patupu.
WATEJA WANATENGENEZWA hawaji tuuu kama utataka biashara yako isi suffocate baada ya muda fulani.Ukitegemea kufungua biashara kila asubuh huku hujui wateja wanatoka wapi hilo ni tatizo kubwa. Hil hakuna darasa la kukufundisha , ni skills ambazo unapaswa kujifunza kwa kuisoma game ya biashara yako. Ndio maana voda wapo, tigo wapo na mwishon hallotel kaindia sokoni lakin huwasikii ma giant wakilalamika.
PIli u have to make sure biashara yako ina grow.Hapa napo kuna maelezo yake.
NB.
Kufanya biashara lazima kuambatane na kujifunza juu ya hiyo biashara yako kila siku.Sio kufungua na kufunga duka tuu.
Yani ni kukosa ubunifuu.. Vipi trekta alikuwa anakodisha au???[emoji28][emoji28][emoji28]Hapa kijijini kuna jamaa alinunua trekta, sasa kila mtu anunua trekta hasa wastaafu akipata vile vihela anakimbilia trekta, sahv yapo matrekta tisa kijiji kimoja. Huyu jamaa alijenga pia mashine ya kukoboa mpunga, wengine wakaunga tela, ndani ya centa ndogo mashine zipo kama saba. Na hii imetokea ndani ya miaka mitano tu.
Mkuu naomba mbinu 🤣Kweli bila kuiombea Biashara yako au kuroga hautobi ndo maana nilkuwa nawashangaa wahindi nawaarabu wanavosali Sana kariakoo kumbe Nikuimarisha Nguvu that way wapo imara.
Mzee naomba kwa heshima na taadhima nifahamishe mbinu za kusimama imara 🤣Hii nimeona Sana mtu anatumia Nguvu kubwa Kupata wakati wenzie wanagusa tu himo Tangu nilipogundua huu mchezo nimefanikiwa Sana Kupata success bila Nguvu kubwa
Hahahah aisee naomba aftatu ya vocha tu mkuu🤣Tukupe Shilingi ngapi Uondoe hilo neno Mangi hapo?
Si ungeweza kutumia hata Waha tu[emoji1787]
Hahahah maisha hayapo kama uyaonavyo[emoji38][emoji38][emoji23] hutoboiii either uwe mcha Mungu haswaaa Hadi kwa kina mwamposa ufike au lah uwe mshirikina haswaaa kwenye vilinge kutafuta mvuto [emoji16][emoji16]. Bongo ni mtihani sana jamani khaa
huyo mtu aliona mapungufu kwako, akayatumia kama fursa, ukitaka kuifunga hiyo biashara anza kuahangaika na huyo jamaa.Mbongo Aisee ni mtu mwenye kichwa kigumu sana. Imagine mtu unaona kabisa sehemu fulani kuna biashara kama nne zinazofanana we unaenda kuanzisha biashara hiyo hiyo, hivi hii inaingia akili kweli au mnataka watu tuanze kuitana wachawi??
Mtu unaona kabisa sehemu fulani kuna stationary na studio kama tano na wewe pia unataka unazishe stationary kisa tu umemuona fulani ana wateja wengi kwenye stationary na wewe umeamua kuleta biashara yako tuanze kugombania wateja mwisho wa siku watu tunaanza kuitana wachawi
Halafu isitoshe nyinyi mnaopangisha fremu utamruhusu vipi mtu afanye biashara the same kama wapangaji wengine wanafanya hiyo biashara, huko ni kuleta uchonganishi. Kugombanisha pasipo na sababu za msingi.
Hii kuigana igana biashara inatia hasira sana. Basi tu watu tunaamua kuishi hivo hivyo. Siku ya pili sasa wateja wamepungua sana ofisini kwangu. Itoshe kusema wabongo mnamauzi sana.
Chanika sio mbali mkuu wahi mapemaNa atakula hasara za kutosha ule mtaa atauona mchungu
Huyu naye ndo anampoteza mwenzake afunge kijiwe chakeHahahah maisha hayapo kama uyaonavyo
😁😁Mwenye nyumba unaelewa Tena we Mtu wa kariakooHahahah aisee naomba aftatu ya vocha tu mkuu🤣
Hahahah ukijua vya hivi wenzio wanajua vya vile. 🤣🤣🤣 Kujifunza hakuna mwisho mkuu. Fanya wepesi😁😁Mwenye nyumba unaelewa Tena we Mtu wa kariakoo