Nyie mnaopenda kuiga biashara za watu hebu jaribuni kuweni wabunifu, mnaleta chuki ipo siku tutakuja kuonana wabaya

Nyie mnaopenda kuiga biashara za watu hebu jaribuni kuweni wabunifu, mnaleta chuki ipo siku tutakuja kuonana wabaya

Hapa kijijini kuna jamaa alinunua trekta, sasa kila mtu anunua trekta hasa wastaafu akipata vile vihela anakimbilia trekta, sahv yapo matrekta tisa kijiji kimoja. Huyu jamaa alijenga pia mashine ya kukoboa mpunga, wengine wakaunga tela, ndani ya centa ndogo mashine zipo kama saba. Na hii imetokea ndani ya miaka mitano tu.
 
Tumia nguvu za kiroho amka saa nane ombea Biashara yako itakuwa maradufu kuzidi hapo Kuna Jamaa hiyo situation Kama yako ilimtokea lakini aliipangua na kuishinda.
Kuna jamaa alikuwa best angu, alikuwa na stationary, Kuna kipindi bihashara iliyumba kwake, akawa anafunga Hadi siku 3 hali. Ghafla bin vu akaja mtu pembeni yake akafungua stationary na yeye. Jamaa mbona alihama, alitafuta place nyengine kwa mbele yake ambayo Imechangamka hatari. Ndo yupo hapo mpk Leo. Ila namuaminia kwa kuiombea bihashara yake.
 
Biashara ni kitu kinakuhitaji kuwa mpana sana wa idea.Unapaswa kufanya biashara leo huku ukiwaza kesho.
Hii ni kwasababu biashara yoyote yenye wateja ina shawishi watu wengine kuingia humo humo na huwez zuia hilo hivyo cha msingi ni kuhakikisha una grow (wewe binafsi) kwenye biashara unayofanya huku ukihakikisha biashara pia ina grow.

Uki grow wewe kwenye biashara utajikuta una namna ya ku acquire na kutengeneza loyal customers ambao utawafanya kuwa wako hata akose bidhaa kwako atakua radhi aache pesa kwako wewe ndio ukamnunulie kwa jirani (hapa kuna mengi ya kufanya).
So wenzako wanafikiri watagawana wateja na weww wanajikuta wanaambulia patupu.
WATEJA WANATENGENEZWA hawaji tuuu kama utataka biashara yako isi suffocate baada ya muda fulani.Ukitegemea kufungua biashara kila asubuh huku hujui wateja wanatoka wapi hilo ni tatizo kubwa. Hil hakuna darasa la kukufundisha , ni skills ambazo unapaswa kujifunza kwa kuisoma game ya biashara yako. Ndio maana voda wapo, tigo wapo na mwishon hallotel kaingia sokoni lakin huwasikii ma giant wakilalamika.


PIli u have to make sure biashara yako ina grow.Hapa napo kuna maelezo yake.

NB.
Kufanya biashara lazima kuambatane na kujifunza juu ya hiyo biashara yako kila siku.Sio kufungua na kufunga duka tuu.
 
Kuna jamaa alikuwa best angu, alikuwa na stationary, Kuna kipindi bihashara iliyumba kwake, akawa anafunga Hadi siku 3 hali. Ghafla bin vu akaja mtu pembeni yake akafungua stationary na yeye. Jamaa mbona alihama, alitafuta place nyengine kwa mbele yake ambayo Imechangamka hatari. Ndo yupo hapo mpk Leo. Ila namuaminia kwa kuiombea bihashara yake.
Kweli bila kuiombea Biashara yako au kuroga hautobi ndo maana nilkuwa nawashangaa wahindi nawaarabu wanavosali Sana kariakoo kumbe Nikuimarisha Nguvu that way wapo imara.
 
Biashara ni kitu kinakuhitaji kuwa mpana sana wa idea.Unapaswa kufanya biashara leo huku ukiwaza kesho.
Hii ni kwasababu biashara yoyote yenye wateja ina shawishi watu wengine kuingia humo humo na huwez zuia hilo hivyo cha msingi ni kuhakikisha una grow (wewe binafsi) kwenye biashara unayofanya huku ukihakikisha biashara pia ina grow.

Uki grow wewe kwenye biashara utajikuta una namna ya ku acquire na kutengeneza loyal customers ambao utawafanya kuwa wako hata akose bidhaa kwako atakua radhi aache pesa kwako wewe ndio ukamnunulie kwa jirani (hapa kuna mengi ya kufanya).
So wenzako wanafikiri watagawana wateja na weww wanajikuta wanaambulia patupu.
WATEJA WANATENGENEZWA hawaji tuuu kama utataka biashara yako isi suffocate baada ya muda fulani.Ukitegemea kufungua biashara kila asubuh huku hujui wateja wanatoka wapi hilo ni tatizo kubwa. Hil hakuna darasa la kukufundisha , ni skills ambazo unapaswa kujifunza kwa kuisoma game ya biashara yako. Ndio maana voda wapo, tigo wapo na mwishon hallotel kaindia sokoni lakin huwasikii ma giant wakilalamika.


PIli u have to make sure biashara yako ina grow.Hapa napo kuna maelezo yake.

NB.
Kufanya biashara lazima kuambatane na kujifunza juu ya hiyo biashara yako kila siku.Sio kufungua na kufunga duka tuu.
Hapa umenena[emoji1666]
 
Hapa kijijini kuna jamaa alinunua trekta, sasa kila mtu anunua trekta hasa wastaafu akipata vile vihela anakimbilia trekta, sahv yapo matrekta tisa kijiji kimoja. Huyu jamaa alijenga pia mashine ya kukoboa mpunga, wengine wakaunga tela, ndani ya centa ndogo mashine zipo kama saba. Na hii imetokea ndani ya miaka mitano tu.
Yani ni kukosa ubunifuu.. Vipi trekta alikuwa anakodisha au???[emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji38][emoji38][emoji23] hutoboiii either uwe mcha Mungu haswaaa Hadi kwa kina mwamposa ufike au lah uwe mshirikina haswaaa kwenye vilinge kutafuta mvuto [emoji16][emoji16]. Bongo ni mtihani sana jamani khaa
Hahahah maisha hayapo kama uyaonavyo
 
Mbongo Aisee ni mtu mwenye kichwa kigumu sana. Imagine mtu unaona kabisa sehemu fulani kuna biashara kama nne zinazofanana we unaenda kuanzisha biashara hiyo hiyo, hivi hii inaingia akili kweli au mnataka watu tuanze kuitana wachawi??

Mtu unaona kabisa sehemu fulani kuna stationary na studio kama tano na wewe pia unataka unazishe stationary kisa tu umemuona fulani ana wateja wengi kwenye stationary na wewe umeamua kuleta biashara yako tuanze kugombania wateja mwisho wa siku watu tunaanza kuitana wachawi

Halafu isitoshe nyinyi mnaopangisha fremu utamruhusu vipi mtu afanye biashara the same kama wapangaji wengine wanafanya hiyo biashara, huko ni kuleta uchonganishi. Kugombanisha pasipo na sababu za msingi.

Hii kuigana igana biashara inatia hasira sana. Basi tu watu tunaamua kuishi hivo hivyo. Siku ya pili sasa wateja wamepungua sana ofisini kwangu. Itoshe kusema wabongo mnamauzi sana.
huyo mtu aliona mapungufu kwako, akayatumia kama fursa, ukitaka kuifunga hiyo biashara anza kuahangaika na huyo jamaa.
Wewe funguka hapa, sema umefungua biashara flani, unazidiwa kete ufanyeje?
 
Back
Top Bottom