Nyie, Tunyweni bia

Tunyweni bia jamani
 
Sasa we una faida gani humu duniani?si umfate Yesu tu Jerusalem,alafu ye nae alikua mpiga mvinyo maarufu.
Tuachie pombe zetu bana.
 
Kula biere[emoji23][emoji23].
 
Hivi kuanzia mwaka mpya wa fedha wa serekare, bucket itauzwa bei gani?
 
Huyo ambae hanywi unakuta ni pangu pakavu kuliko mnywaji. Kunywa ww inaongeza uwezo wakutafuta pesa .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwagilia moyo tu.Lete chui mweusi ,mishaki 2 na pilipili mbuzi 93.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…